Kabisa yani.Nilipoaanza kukaa gheto ndo nilijua kwa nini nilikuwaga nakula kichapo nikiokota hela ndani na kusema ni yangu
Gheto ni industry ya great thinkers wengi
It teaches than a school teacher
[emoji848]
Nakubali nakubali mzee[emoji1666][emoji109][emoji109]Mwenzenu ndo naandaa kiwanja hapa.
Soon najenga chumba na sebule[emoji12][emoji12]
Geto la single room naona halitojitosheleza
View attachment 2270843View attachment 2270845
Brand nzur n km LG,HISENCE,SAMSUNG n mfuko wako tu mkuuWakuu naombeni msaada kuhusu aina ya TV.
Hisence nadhani ndio nitaimudu kwasababu bajeti yangu ya TV ni isizidi 450,000/=Brand nzur n km LG,HISENCE,SAMSUNG n mfuko wako tu mkuu
Kaka hii TV ni aina gani?Bado mapambano yanaendelea...View attachment 2271447
Kaka hii TV ni aina gani?
Kaka hii TV ni aina gani?
[emoji16][emoji16]Maisha ya uku yanakera sana yaanNdiyo ni bush, nilikaa one week niliona kama nimekaa mwezi[emoji23]
Wallah huko sikuwezi maisha ni magumu yaani hakuna mzunguko.[emoji16][emoji16]Maisha ya uku yanakera sana yaan
Wee nimekwambia nitafutie ghetto pesa mfukoni hujapata. Tena nataka niwe karibu nawe huko tegetaMwezi wa sitaa unaosha nusu mwaka,
Wakina mzabzab kutwa kuuliza bei ya godoro na kitanda[emoji23]
Mungu ni mwema.
🤣🤣🤣🤣🤣Ndiyo ni bush, nilikaa one week niliona kama nimekaa mwezi[emoji23]
Nakushauri tu usihame hapo,Wee nimekwambia nitafutie ghetto pesa mfukoni hujapata. Tena nataka niwe karibu nawe huko tegeta
[emoji23][emoji23][emoji23]ugali wa muhogo na nyanya chungu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Weekend njema Ladies & Gentlemen.View attachment 2271460
Ukitaka usione nyaya inabidi usifunge Tv ukutaniSet up nzuri japo Nachukua sana ma waya waya
Sasa kakitambi hakapo? Amaebaki chura tuu[emoji23][emoji23][emoji23]ugali wa muhogo na nyanya chungu
Unawaza yaani daah sijawahigi kushiba yaani sikuridhikaga na chakula,
Nilikuwa nakula tu najaza tumbo,hadi kakitambi kalianza[emoji16]
Nibakinkwa baba au sioNakushauri tu usihame hapo,