Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Nilipoaanza kukaa gheto ndo nilijua kwa nini nilikuwaga nakula kichapo nikiokota hela ndani na kusema ni yangu

Gheto ni industry ya great thinkers wengi
It teaches than a school teacher
[emoji848]
Kabisa yani.
 
Bado mapambano yanaendelea...
27d156a9-51f6-440f-9c7b-ec586d1f7f8d.JPG
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]ugali wa muhogo na nyanya chungu

Unawaza yaani daah sijawahigi kushiba yaani sikuridhikaga na chakula,

Nilikuwa nakula tu najaza tumbo,hadi kakitambi kalianza[emoji16]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]ugali wa muhogo na nyanya chungu

Unawaza yaani daah sijawahigi kushiba yaani sikuridhikaga na chakula,

Nilikuwa nakula tu najaza tumbo,hadi kakitambi kalianza[emoji16]
Sasa kakitambi hakapo? Amaebaki chura tuu
 
Back
Top Bottom