Ulianzaje kukaa gheto?

Kapicha pls

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji123][emoji123] story lako fup ila mmmmmh inaonyesha pana jitihada ulifanya hongera ndugu
 
Hapana hizo ni pioneer
Mkuu naomba nisaidoe jambo kweny hii theater yngu ya sony ile ndogo huwa natumia flash kuskilizia nymbo sas flash iko n nyimbo kama elfu 2 hv lakn zimesaviwa kwenye folder 2 tofaut sas jins ya kuingia kwenye folder ya piLi yenye nyimbo zngne naboyeza wapi maaNa sina tv nafanya kukisia na sijawah kutumi hii kitu kabla msaada bro kama utakua unafahamu
 
Kaka hapa tumuite Extrovert atusaidie kidogo
 

[mention]Extrovert [/mention]
 
Ukiichomeka tu hiyo flash kabla ya kubonyeza OK, tumia batani ya kushuka chini kisha OK utakuwa umechagua foda ya 2.
Ukitaka kurudi foda ya kwanza Bonyeza batani ya USB
 
Wadau kuna rafiki yangu anauza Smart TV inch 50 nataka kuinunua lakini ina tatizo la mstari mdogo kwenye kioo, Je hauta sumbua mbeleni labda kuongezeka na kuleta madhara zao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…