fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
ShukraNi sana mkuuSafi mkuu vizuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ShukraNi sana mkuuSafi mkuu vizuri sana
Kapicha plsDah wakubwa niaje aisee ...? Leo nalala gheto kwa mara ya kwanza tangu nlivorudsha mpira kwa kipa mwaka jana mweZi wa 3...nmejipanga sio kitoto kama mandonga vile godoro jipya kitanda kipya home theatre ndoo zangu 3 napeta nadhani had mwezi wa 3 mwakAni mungu akibariki ntajibless na flat....wengine ambao bado wanafosi mungu awasaidie [emoji120][emoji120]
Nazingua tuuuu chiefKijana wa hovyo 😀😀😀😀
Kwann mkuu?
[emoji123][emoji123] story lako fup ila mmmmmh inaonyesha pana jitihada ulifanya hongera nduguDaaaah nimekumbukaa mbali sana nimemaliza chuo 2015 nimesota mno 2016 nikajilipua nikatoka home kigambon mpaka tabata cna kaz uzur nilikuwa nakila kitu kuanzia godoro kitanda fen redio tv chumba 70k nikalipa six month pesa niliomba nikabakia na laki hiv piga mishe kitaa na laki ikakata maisha yakawa magum sana nikawa nafanya kaz yyte iliyopo mbele yangu nimebeba tofali nimeuza sabun lkn wap baada ya miez mitano nikarudisha mpira kwa kipa nikaenda home nikakaa miez mitano nikasepa tena nikaona nihame mkoa mpaka sasa niko arusha mi siiti gheto naita nyumba sahiv nipo nishazoea.
Mkuu naomba nisaidoe jambo kweny hii theater yngu ya sony ile ndogo huwa natumia flash kuskilizia nymbo sas flash iko n nyimbo kama elfu 2 hv lakn zimesaviwa kwenye folder 2 tofaut sas jins ya kuingia kwenye folder ya piLi yenye nyimbo zngne naboyeza wapi maaNa sina tv nafanya kukisia na sijawah kutumi hii kitu kabla msaada bro kama utakua unafahamuHapana hizo ni pioneer
Kaka hapa tumuite Extrovert atusaidie kidogoMkuu naomba nisaidoe jambo kweny hii theater yngu ya sony ile ndogo huwa natumia flash kuskilizia nymbo sas flash iko n nyimbo kama elfu 2 hv lakn zimesaviwa kwenye folder 2 tofaut sas jins ya kuingia kwenye folder ya piLi yenye nyimbo zngne naboyeza wapi maaNa sina tv nafanya kukisia na sijawah kutumi hii kitu kabla msaada bro kama utakua unafahamuView attachment 2325514
Mkuu naomba nisaidoe jambo kweny hii theater yngu ya sony ile ndogo huwa natumia flash kuskilizia nymbo sas flash iko n nyimbo kama elfu 2 hv lakn zimesaviwa kwenye folder 2 tofaut sas jins ya kuingia kwenye folder ya piLi yenye nyimbo zngne naboyeza wapi maaNa sina tv nafanya kukisia na sijawah kutumi hii kitu kabla msaada bro kama utakua unafahamuView attachment 2325514
Ukiichomeka tu hiyo flash kabla ya kubonyeza OK, tumia batani ya kushuka chini kisha OK utakuwa umechagua foda ya 2.Mkuu naomba nisaidoe jambo kweny hii theater yngu ya sony ile ndogo huwa natumia flash kuskilizia nymbo sas flash iko n nyimbo kama elfu 2 hv lakn zimesaviwa kwenye folder 2 tofaut sas jins ya kuingia kwenye folder ya piLi yenye nyimbo zngne naboyeza wapi maaNa sina tv nafanya kukisia na sijawah kutumi hii kitu kabla msaada bro kama utakua unafahamuView attachment 2325514
Nimejaribu hapa sasa hv mkuu iLa baDo imenigomea mkuuUkiichomeka tu hiyo flash kabla ya kubonyeza OK, tumia batani ya kushuka chini kisha OK utakuwa umechagua foda ya 2.
Ukitaka kurudi foda ya kwanza Bonyeza batani ya USB
Hahahahha inabd tu nkafaNye hvo maaNa dah folder la pili ndo lina ngoma kaLi saNaHio atoe nyimbo tu kwenye mafolder issue solved
Eh toa nyimbo hizo zikae sehem moja tuHahahahha inabd tu nkafaNye hvo maaNa dah folder la pili ndo lina ngoma kaLi saNa
Ngj ntafute buku niende library nikazihaMishe tu maaN fldah hii kero bora hata nngekua na tv kdg ingeKua afadhaLiEh toa nyimbo hizo zikae sehem moja tu
Unatumia Sony Theater?Nimejaribu hapa sasa hv mkuu iLa baDo imenigomea mkuu
Safi sana kiongozi,ghetto flan simple hiviGOD is Good, mwaka wa kwanza ndo umekata ivoo[emoji120]
Maombi yenu wadau nisije rudisha mpira kwa kipa[emoji110]
View attachment 2326242
View attachment 2326243
Karibu wahi usije likosa baridi mkalMwez ujao naaga rasmi hom, uelekeo makambako wenyeji nipokeeni.