Kuna siku nimerudi kama mida ya saa 2 hivi,hapo jana yake walifunga geti,niligonga lakini hawakufungua..niliporudi nikaingia geto,nikasema ngoja niende Kwa mama ntilie nikapige msosi,Kuna dada alikuwa yupo jikoni anakula na mtoto wake,kutokana na uoga wa kufungiwa,nikamuaga kabisa nikamwambia naenda kula narudi si mda mrefu geti wasifunge..hee baadae narudi geti wamefunga,goooonga mlango lakini wapi..kitu kibaya zaidi sisi woote wapangaji,mwenye nyumba hayupoKama vipi wakugawie funguo ya geti kama wanaona shida kukufungulia,
Hapo sio pahala pa kuishi,unaweza fukuzwa na vibaka kukimbilia nyumbani pamefungwa na usipate msaada.
Wanakufanyia kusudi,hama baadhi ya wamama wana roho mbayaKuna siku nimerudi kama mida ya saa 2 hivi,hapo jana yake walifunga geti,niligonga lakini hawakufungua..niliporudi nikaingia geto,nikasema ngoja niende Kwa mama ntilie nikapige msosi,Kuna dada alikuwa yupo jikoni anakula na mtoto wake,kutokana na uoga wa kufungiwa,nikamuaga kabisa nikamwambia naenda kula narudi si mda mrefu geti wasifunge..hee baadae narudi geti wamefunga,goooonga mlango lakini wapi..kitu kibaya zaidi sisi woote wapangaji,mwenye nyumba hayupo
samahani mkuu ni geti kubwa au unaishi nyumba zile zenye vyumba vya ndani halafu kunakuwa na mlango mkubwa?Kuna siku nimerudi kama mida ya saa 2 hivi,hapo jana yake walifunga geti,niligonga lakini hawakufungua..niliporudi nikaingia geto,nikasema ngoja niende Kwa mama ntilie nikapige msosi,Kuna dada alikuwa yupo jikoni anakula na mtoto wake,kutokana na uoga wa kufungiwa,nikamuaga kabisa nikamwambia naenda kula narudi si mda mrefu geti wasifunge..hee baadae narudi geti wamefunga,goooonga mlango lakini wapi..kitu kibaya zaidi sisi woote wapangaji,mwenye nyumba hayupo
Hama hapo mzee [emoji23]Wadau hii changamoto ya kufungiwa geti nyie hamkutani nayo!??..yan saa mbili tu tayari hawa mademu washalock geti,nimemind kichizi hawa mademu lakini hawaelewi,sasa hivi nimelala Kwa demu wangu ila pale gheto nimegonga sana geti,nimewapigia sana simu wanakaushia..hii nyumba mwezi wa 12 sitoboi lazima nihame
Niko makambako,nyumba ina fensi na geti..room ni ya njesamahani mkuu ni geti kubwa au unaishi nyumba zile zenye vyumba vya ndani halafu kunakuwa na mlango mkubwa?
ni mkoa gani upo?
ohoo. waweke kikao. ikiwezekana wakupe funguo yako.Niko makambako,nyumba ina fensi na geti..room ni ya nje
Uko makambako sehemu gani, na niko makambako pia mtaa wa kwa-nyimboNiko makambako,nyumba ina fensi na geti..room ni ya nje
Una option mbiliNiko makambako,nyumba ina fensi na geti..room ni ya nje
Makorokoro ya Ghetto π
Demu huyo si burooBro naona unaanda mazingira mazuri ya kua na kitambi
Ujue mnakua kila mtu na tabia zake halafu kwa mm lkn sjui kwa mwngne kuna mda huwaga napenda kukaa alone natafakari hasa pale ambapo sina pesa au uelekeo wangu unakwama mipango haiend napenda kukaa peke yngu kutafakari hasa mchana au usku sas unakuta mchz mara akupe stry za mademu au aweke redio sauti juu au aanze kukupnga kama anataka kuja na demu yaan changamoto n nyingi mkuu labda mkutane na mtu ambae mnaendana lifestyle kaka
Kwani kipindi unapanga hukuwapa muongozo wa mida yako ya kurudi kwako,mimi geto kwangu narudi mda wowote tofauti na hapo mwenye nyumba atanirudishia pesa yanguWadau hii changamoto ya kufungiwa geti nyie hamkutani nayo!??..yan saa mbili tu tayari hawa mademu washalock geti,nimemind kichizi hawa mademu lakini hawaelewi,sasa hivi nimelala Kwa demu wangu ila pale gheto nimegonga sana geti,nimewapigia sana simu wanakaushia..hii nyumba mwezi wa 12 sitoboi lazima nihame
Depal ni pisi kali mkuu, sio broπ€£π€£π€£π€£Bro naona unaanda mazingira mazuri ya kua na kitambi
Mkuu uko negative sana,thibitisha gheto lipi uliingia?Kwanini Magheto Mengi ya wanawake yanakuaga machafu?
Demu huyo si buroo
Mi nilifeli mwanzoni,mazingira Yale ya get kali niliyaona ila nikapuuzia..hapo ndo nilipobugiKwani kipindi unapanga hukuwapa muongozo wa mida yako ya kurudi kwako,mimi geto kwangu narudi mda wowote tofauti na hapo mwenye nyumba atanirudishia pesa yangu
Nahama siwezi Maisha ya geti kali..hapa gheto hata kuvusha pisi navusha Kwa mbinde..Kuna madingi flan watu wa dini basi jau kichiz yanUna option mbili
1.Tafuta funguo yako
2.hama
Mi niko stendi mpyaUko makambako sehemu gani, na niko makambako pia mtaa wa kwa-nyimbo