Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Kama vipi wakugawie funguo ya geti kama wanaona shida kukufungulia,

Hapo sio pahala pa kuishi,unaweza fukuzwa na vibaka kukimbilia nyumbani pamefungwa na usipate msaada.
Kuna siku nimerudi kama mida ya saa 2 hivi,hapo jana yake walifunga geti,niligonga lakini hawakufungua..niliporudi nikaingia geto,nikasema ngoja niende Kwa mama ntilie nikapige msosi,Kuna dada alikuwa yupo jikoni anakula na mtoto wake,kutokana na uoga wa kufungiwa,nikamuaga kabisa nikamwambia naenda kula narudi si mda mrefu geti wasifunge..hee baadae narudi geti wamefunga,goooonga mlango lakini wapi..kitu kibaya zaidi sisi woote wapangaji,mwenye nyumba hayupo
 
Kuna siku nimerudi kama mida ya saa 2 hivi,hapo jana yake walifunga geti,niligonga lakini hawakufungua..niliporudi nikaingia geto,nikasema ngoja niende Kwa mama ntilie nikapige msosi,Kuna dada alikuwa yupo jikoni anakula na mtoto wake,kutokana na uoga wa kufungiwa,nikamuaga kabisa nikamwambia naenda kula narudi si mda mrefu geti wasifunge..hee baadae narudi geti wamefunga,goooonga mlango lakini wapi..kitu kibaya zaidi sisi woote wapangaji,mwenye nyumba hayupo
Wanakufanyia kusudi,hama baadhi ya wamama wana roho mbaya
 
Kuna siku nimerudi kama mida ya saa 2 hivi,hapo jana yake walifunga geti,niligonga lakini hawakufungua..niliporudi nikaingia geto,nikasema ngoja niende Kwa mama ntilie nikapige msosi,Kuna dada alikuwa yupo jikoni anakula na mtoto wake,kutokana na uoga wa kufungiwa,nikamuaga kabisa nikamwambia naenda kula narudi si mda mrefu geti wasifunge..hee baadae narudi geti wamefunga,goooonga mlango lakini wapi..kitu kibaya zaidi sisi woote wapangaji,mwenye nyumba hayupo
samahani mkuu ni geti kubwa au unaishi nyumba zile zenye vyumba vya ndani halafu kunakuwa na mlango mkubwa?

ni mkoa gani upo?
 
Wadau hii changamoto ya kufungiwa geti nyie hamkutani nayo!??..yan saa mbili tu tayari hawa mademu washalock geti,nimemind kichizi hawa mademu lakini hawaelewi,sasa hivi nimelala Kwa demu wangu ila pale gheto nimegonga sana geti,nimewapigia sana simu wanakaushia..hii nyumba mwezi wa 12 sitoboi lazima nihame
Hama hapo mzee [emoji23]
 
Ujue mnakua kila mtu na tabia zake halafu kwa mm lkn sjui kwa mwngne kuna mda huwaga napenda kukaa alone natafakari hasa pale ambapo sina pesa au uelekeo wangu unakwama mipango haiend napenda kukaa peke yngu kutafakari hasa mchana au usku sas unakuta mchz mara akupe stry za mademu au aweke redio sauti juu au aanze kukupnga kama anataka kuja na demu yaan changamoto n nyingi mkuu labda mkutane na mtu ambae mnaendana lifestyle kaka

uko sawa mkuu wala hujakosea kuna wana miyeyusho sana ... kuna jamaa yangu nilimpa hifadh gheto daah aisee nilijuta sana
 
Wadau hii changamoto ya kufungiwa geti nyie hamkutani nayo!??..yan saa mbili tu tayari hawa mademu washalock geti,nimemind kichizi hawa mademu lakini hawaelewi,sasa hivi nimelala Kwa demu wangu ila pale gheto nimegonga sana geti,nimewapigia sana simu wanakaushia..hii nyumba mwezi wa 12 sitoboi lazima nihame
Kwani kipindi unapanga hukuwapa muongozo wa mida yako ya kurudi kwako,mimi geto kwangu narudi mda wowote tofauti na hapo mwenye nyumba atanirudishia pesa yangu
 
Kwani kipindi unapanga hukuwapa muongozo wa mida yako ya kurudi kwako,mimi geto kwangu narudi mda wowote tofauti na hapo mwenye nyumba atanirudishia pesa yangu
Mi nilifeli mwanzoni,mazingira Yale ya get kali niliyaona ila nikapuuzia..hapo ndo nilipobugi
 
Back
Top Bottom