Wee unadhan wapangaji wakiwa wengi kinafuata nn vikao vya usengenyaji tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na vikao mnakaaga [emoji23][emoji23][emoji23]
Nawee kweli hupikii wallah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tusiopika
Vifriji havina hata nyanya View attachment 2441486
Tumbo langu nalilisha chochote nachojisikia kwahuo muda,,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tumbo la kwanza ni lako.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Nampikia nani?? πππNawee kweli hupikii wallah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dyadyaaa acha uvivu.
Haswaaaaah!!! Yaan hapa nilipoooo niko safee mnoooo, afu napendwaaa, ndo last born wa hapaaa. Bas mie rohooo kwatuuuu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wadada mna maghubu sana nyie. Ndio mnaongoza kusemana nyumba za kupanga.
Sehemu kama hiyo kuishi raha sana. Kila mtu anamind business zake. Amani tupu. Tatizo likitokea lina tatuliwa life linaenda.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilivyo cna uvumilivu, mbna kila cku ni mshike mshike viwanjani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuelewa
Hatari sana nyumba za hivyoWee unadhan wapangaji wakiwa wengi kinafuata nn vikao vya usengenyaji tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nashukuru sehemu niliyopo ni nzuri na inafaa kwangu, japo maumivu kwenye kodi. Woiiiiiiih.
Kabisaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilivyo cna uvumilivu, mbna kila cku ni mshike mshike viwanjani.
Sasa kuepusha hilo ni boraa kukaa penye utulivu.
Wee mwenyeweee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nampikia nani?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Last born wa sehemu raha sana, mlipa bill za luku na maji. Halafu wewe kwenye hesabu haumo kazi yako ni kusema tu umeme umeisha na bili ya maji imetoka. Ukijiongeza kufanya usafi ndo basi.Haswaaaaah!!! Yaan hapa nilipoooo niko safee mnoooo, afu napendwaaa, ndo last born wa hapaaa. Bas mie rohooo kwatuuuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan haswaaaaa, hata hapa watu wako buzzy jaman, taarifa mnapeana tsup au text za kawaida. UwiiiiiiihKabisaaaa
Napokaa unaweza maliza week hujamgumua mtu face to face, ni utasikia geti linafungwa na kufunguliwa.
Ama mwenye gari anaingiza
Sema sehemu kama hizo kodi ni kubwa kubwa kidogo.Yaan haswaaaaa, hata hapa watu wako buzzy jaman, taarifa mnapeana tsup au text za kawaida. Uwiiiiiiih
Mie ndo roho kwatuuuuuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niwe na amaniii.
Ah sina muda jamani πππWee mwenyeweee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie mwanzoni nilikua mvivu sanaa,, ila baadae nkaona noope acha niwe napika, japo sio mara nyingi hvyooo.
Yaan nyumba ina wapangaji zaid ya 8 uwiiiiiih, si majanga haya, afu sasa wamama wa nyumban 5, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatari sana nyumba za hivyo
Baba mwenye nyumba kodi inamfata m pesa πYaan haswaaaaa, hata hapa watu wako buzzy jaman, taarifa mnapeana tsup au text za kawaida. Uwiiiiiiih
Mie ndo roho kwatuuuuuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niwe na amaniii.
Kodi hapa ni maumivu mnoooooo, ila bora hivyoSema sehemu kama hizo kodi ni kubwa kubwa kidogo.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
πππππ hapo ni kukaangwa hatariiiiYaan nyumba ina wapangaji zaid ya 8 uwiiiiiih, si majanga haya, afu sasa wamama wa nyumban 5, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilimuambia wee usinambie nije tena hapa, yaan hapo koridoni unasaalimia wee had unachoka.
Nilipopanga wapangaji ni 8 kila mtu na nyumba yake, kila mtu anarudi usikuWee unadhan wapangaji wakiwa wengi kinafuata nn vikao vya usengenyaji tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nashukuru sehemu niliyopo ni nzuri na inafaa kwangu, japo maumivu kwenye kodi. Woiiiiiiih.
Em weka kapichaaaaKodi hapa ni maumivu mnoooooo, ila bora hivyo
Hapa kila mtu na mita yake,ko umeme kila mtu anajitegemea, ila maji tunalipiaa kwa mwezi. Usafi yupo mtu maalumu kaajiriwa tunampa hela ya mwezi.Last born wa sehemu raha sana, mlipa bill za luku na maji. Halafu wewe kwenye hesabu haumo kazi yako ni kusema tu umeme umeisha na bili ya maji imetoka. Ukijiongeza kufanya usafi ndo basi.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app