DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Asante sana mkuu ni hisenze apo au sioSmart 43’ -750.000 mikoani
Dar 600k na points
Ndiyo[emoji1787]Ili ujengewe na mwanaume mwingine hahahah .
Umenichoka malikiaNdiyo[emoji1787]
Siwezi kujenga na mwanaume ambaye hana msimamo kama wewe[emoji1787]
Kwakweli hii ni kanuni yangu yaani napenda mwanamke wa kunisikiliza na kunitii sio mwanamke wa kumgeuza mwanaume fala uwa napiga chini chapu.Haya mambo Mwanaume ndio unakua incharge,mtu asietaka kuskia vile unamwambia ,basi unampiga chini tu.
Tofauti ni bei, vitanda vya mbao imara mara nyingi huvikuti vime pangwa barabarani, we ukitaka kitanda imara nenda viwandani panapo tengenezwa fenicha muuzaji ana kwambia fenicha ya mbao hii bei yake ni hii, kitanda cha mbao imara 5 kwa5 si chini ya laki 6 na nusu, siku zote ukitaka kitu cha bei rahisi lazima uimara wake ni duni kitanda cha mbao cha laki tatu, mbili havi dumu na mara nyingi wana vipaka rangi.Sasa watawezaje kutofautisha kitanda cha mninga/mkongo na ambacho sio? Ni nn utofaut wa mbao ya mninga na ambayo sio ya mninga kwa kuiangalia?
Sawa sawaTofauti ni bei, vitanda vya mbao imara mara nyingi huvikuti vime pangwa barabarani, we ukitaka kitanda imara nenda viwandani panapo tengenezwa fenicha muuzaji ana kwambia fenicha ya mbao hii bei yake ni hii, kitanda cha mbao imara 5 kwa5 si chini ya laki 6 na nusu, siku zote ukitaka kitu cha bei rahisi lazima uimara wake ni duni kitanda cha mbao cha laki tatu, mbili havi dumu na mara nyingi wana vipaka rangi.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Mkuu na vipi kuhusu vitanda vya chuma?Tofauti ni bei, vitanda vya mbao imara mara nyingi huvikuti vime pangwa barabarani, we ukitaka kitanda imara nenda viwandani panapo tengenezwa fenicha muuzaji ana kwambia fenicha ya mbao hii bei yake ni hii, kitanda cha mbao imara 5 kwa5 si chini ya laki 6 na nusu, siku zote ukitaka kitu cha bei rahisi lazima uimara wake ni duni kitanda cha mbao cha laki tatu, mbili havi dumu na mara nyingi wana vipaka rangi.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Oooooh hapo sawaaaah!!!Mimi siishi Dar,,Au maeneo yoyote ya mjini.Mimi nipo ndani ndani huku ambako hata hicho chumba unavyokiona ninan uhakika wa usingizi mnono mvua ikinyesha.
Tofauti ni bei, vitanda vya mbao imara mara nyingi huvikuti vime pangwa barabarani, we ukitaka kitanda imara nenda viwandani panapo tengenezwa fenicha muuzaji ana kwambia fenicha ya mbao hii bei yake ni hii, kitanda cha mbao imara 5 kwa5 si chini ya laki 6 na nusu, siku zote ukitaka kitu cha bei rahisi lazima uimara wake ni duni kitanda cha mbao cha laki tatu, mbili havi dumu na mara nyingi wana vipaka rangi.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Kwa hapa Bongo vinaweza kugharimu kias gan?
Daah mkuu hata sifahamu maana hata mafundi wetu hawaonyeshi kama wanaweza kutengeneza. Yan hakuna mafundi walioonyesha nia kutaka kuwapa huu ubunifu wateja wao.Kwa hapa Bongo vinaweza kugharimu kias gan?
Demu anakutapeli tena?Nilipanga gheto vitu vyote niliuza demu wangu alitaka kunitapeli nikauza hapa kimya alivyopata na msiba kwao so akaenda uku nyuma nikauza nikahama na chumba nikarudisha najipanga niaze upya nimerudi kwanza home mwakani inshallah najipanga tena : NATOA Onyo kama kijana unapambana tafadhali Usijichanganye kuishi na videm njaaa.
Yani ukinunua utatumia mpaka wajukuu watavikuta bado vipo, sisi nyumbani mzee wetu alinunua vitanda vya mbao ya mmniga mpaka leo vipo kuna kipindi alikuwa ana tugaiya vitanda ili tukajitegemeeKweli mkuu leo nimeenda kiwandani kuulizia kitanda kizuri cha 5 kwa 6 vipo vya 1.5m cha bei rahisi ni 800k ila ukiviona ni vizuri balaa najipanga upya coz nilienda na budget ya 500k, mbao wanazotumia ni mninga na mkongo.
Hivi havivunjiki kweli muda wa mizagamuoIla changamoto yake kwa jinsi vinavyotengeneza vinahitaji sehemu ambayo ni permanent. Yan iwe sehemu yako maana vinajengewa kuanzia ukutani sasa kwa sisi tunaopanga inakua ni changamoto. Ingia youtube uvione vinavyotengenezwaView attachment 2459558View attachment 2459560View attachment 2459561View attachment 2459562
Mkuu ni imara sana. Ingia youtube kaone vinavyotengenezwaHivi havivunjiki kweli muda wa mizagamuo