Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Jiko la gas lina kabati lakee, inategemea lakini mtungi gan??
Mtungi mdogo....unasemea kabati lipi au zile meza unaweka mtungi kwa juu na zinakuwa na milangoJiko la gas lina kabati lakee, inategemea lakini mtungi gan??
Duuuj 1.4m gheto tu! Wewe ni wakishua aisee.Soon naingia gheto rasmi, 2 months from now
Nimeandaa bajeti ya 1.4M
Wakulungwa nipangilieni kwa kiasi hiko nakamilishaje room iwe full kbs, je inatosha au napaswa niongeze? Kama haitoshi kwa bajeti hiyo naweza kamilisha vitu gani
Nb/Ni chumba na sebule pia usipigie hesabu ya kodi
Kwenu wakulungwa nawasilisha[emoji1545][emoji1545]
Inatosha sanaSoon naingia gheto rasmi, 2 months from now
Nimeandaa bajeti ya 1.4M
Wakulungwa nipangilieni kwa kiasi hiko nakamilishaje room iwe full kbs, je inatosha au napaswa niongeze? Kama haitoshi kwa bajeti hiyo naweza kamilisha vitu gani
Nb/Ni chumba na sebule pia usipigie hesabu ya kodi
Kwenu wakulungwa nawasilisha[emoji1545][emoji1545]
Kwanini?
Kumbe wazijua, sasa ndio hizoMtungi mdogo....unasemea kabati lipi au zile meza unaweka mtungi kwa juu na zinakuwa na milango
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Vitu vilivyopanda bei, hapo vingiii anakosaaa,Inatosha sana
Nakadiria tu bei sio exact price lakini ina range humo humo
Kitanda na godoro around 300k
Feni 120k
Jiko la gesi mtungi mdogo 55k
Kitchen cabinet 100k
Tv 300k
Sabufa 100k
Mapazia,mashuka 80k
Pasi 35k
Extension cable 10k
Ndoo za maji
Fridge dogo 150k
Total 1,170,000/=
Inabaki 230,000/= ya misosi
Mchele
Unga
Mafuta ya kupikia etc
Jiko la gesi chukua kopa gesi nahamini iyo ela unapata jiko la ges na chenchi inabakiInatosha sana
Nakadiria tu bei sio exact price lakini ina range humo humo
Kitanda na godoro around 300k
Feni 120k
Jiko la gesi mtungi mdogo 55k
Kitchen cabinet 100k
Tv 300k
Sabufa 100k
Mapazia,mashuka 80k
Pasi 35k
Extension cable 10k
Ndoo za maji
Fridge dogo 150k
Total 1,170,000/=
Inabaki 230,000/= ya misosi
Mchele
Unga
Mafuta ya kupikia etc
Kitchen cabinet ya milango miwili anapata kwa 100k tena wengine hadi 80k wanakuuzia mimi mwenyewe nipo kwenye process ya kununua soon tuVitu vilivyopanda bei, hapo vingiii anakosaaa,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kitchen cabinets ipi laki? Akat kuanzua 150k uwiiii
Hiyo helaa kwa kuitaja nyingi, ingia kwa matumizi uone sasa,
Labda atanunua sio dukani. Kwa mtu yaan used.
55k anapata jikoJiko la gesi chukua kopa gesi nahamini iyo ela unapata jiko la ges na chenchi inabaki
Oooh hapo sawaaah.Kitchen cabinet ya milango miwili anapata kwa 100k tena wengine hadi 80k wanakuuzia mimi mwenyewe nipo kwenye process ya kununua soon tu
Hiyo ya 150k unayosemea wewe ni ya milango mitatu
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Kuna meza za kuwekea gesi..jipange uchukue hyo chiefhivi Jamani mnafanya vipi ili mtungi wa gas usichafue ukuta
Kwani kinacho sababisha ule uchafu si mvuke auKuna meza za kuwekea gesi..jipange uchukue hyo chief
Mbona Kodi kubwa boss,Natafuta getho la 50 Dom ndani ya fance wakuu 0673157150
Mtungi unachafuaje ukuta?hivi Jamani mnafanya vipi ili mtungi wa gas usichafue ukuta