Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Wanangu wa gheto eeeh
KOMAAAA ila usikubali kushare kitu chochote na demu ukiwa gheto...!!!

Simama wewe kama wewe.
Nilinunua vitu kibao nikaa na demu Fulani naschool nae.

Baada ya kuzinguana anadai kila kitu chake Tena anataka Hadi kupigana

Nikaona nilifanya makosa kukaa na demu aiseeee nimeondoka nimemuachia kila kitu.

Asaivi nalala chini Sina Cha godoro Wala Nini Nina nguo tu na pumbu mbili.


So tukomae wauni mademu sio watu
Mzee uko pande gani, naeza saidia ukapata hata godoro la kukusogeza
 
I'm so sorry bro go to help you and everything gonna be all rightDo you know this woman is nowadays they're not human and I have a such a bad heart heart believe me bro but you have to believe we have faith you know I'm saying OK thank you and you have a good night
Mtaalamu wa lugha 😀😂, I see yah bro
 
Wakuu, naomba kuuliza.
Kwa mtu anayeanza kuishi geto anatakiwa kuwa na angalau kiasi gani cha pesa ili kuanza from the beginning.?
Na hesabu za hizo pesa azipangilie vp.?
Screenshot_20231003-010831.jpg
 
Wakuu, naomba kuuliza.
Kwa mtu anayeanza kuishi geto anatakiwa kuwa na angalau kiasi gani cha pesa ili kuanza from the beginning.?
Na hesabu za hizo pesa azipangilie vp.?
Mkuu Kikubwa Anza na Kodi ya miezi 3, godoro la kishkaji tu.
👉Gesi au mkaa Kama uko mkoani.
👉Debe la unga ni 20 k- Dona una pata kg 18, sembe kg 12
👉Sado ya dagaa 7000, nyanya sado 2000 - nenda kule sokoni kwa Bei ya jumla.
 
Back
Top Bottom