Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Mzee uko pande gani, naeza saidia ukapata hata godoro la kukusogezaWanangu wa gheto eeeh
KOMAAAA ila usikubali kushare kitu chochote na demu ukiwa gheto...!!!
Simama wewe kama wewe.
Nilinunua vitu kibao nikaa na demu Fulani naschool nae.
Baada ya kuzinguana anadai kila kitu chake Tena anataka Hadi kupigana
Nikaona nilifanya makosa kukaa na demu aiseeee nimeondoka nimemuachia kila kitu.
Asaivi nalala chini Sina Cha godoro Wala Nini Nina nguo tu na pumbu mbili.
So tukomae wauni mademu sio watu
Mtaalamu wa lugha 😀😂, I see yah broI'm so sorry bro go to help you and everything gonna be all rightDo you know this woman is nowadays they're not human and I have a such a bad heart heart believe me bro but you have to believe we have faith you know I'm saying OK thank you and you have a good night
Mkuu Dua zako zinatosha sana Mimi kufikia malengo acha nikomae ili nipate uchungu wa kutafutaMzee uko pande gani, naeza saidia ukapata hata godoro la kukusogeza
Naheshimu uamuzi wako🙏💪, pamoja mkuu.Mkuu Dua zako zinatosha sana Mimi kufikia malengo acha nikomae ili nipate uchungu wa kutafuta
Ntaleta mrejesho hapa kila hatua kwa picha ili iwe inspiration kwa wengineNaheshimu uamuzi wako[emoji120][emoji123], pamoja mkuu.
[emoji117]Kheri I we nawe
Nakuombea, and iam your fan, because of the courage you have.Ntaleta mrejesho hapa kila hatua kwa picha ili iwe inspiration kwa wengine
Yeah uki itumia vyema, una tusua.Ghetto is a therapy
Mtaalamu wa lugha [emoji3][emoji23], I see yah bro
"English left the chat"[emoji23][emoji23][emoji23]am on fleek mr its my time to give them sparks of english
tell it come back immediately Before I get mad"English left the chat"[emoji23]
Kwema bro sijui upande wakoYeah uki itumia vyema, una tusua.
[emoji117]Upo fresh Lakini bro[emoji848]
Kheri iko pamoja nasi🙏💪Kwema bro sijui upande wako
Inapendeza broKheri iko pamoja nasi[emoji120][emoji123]
Wakuu, naomba kuuliza.
Kwa mtu anayeanza kuishi geto anatakiwa kuwa na angalau kiasi gani cha pesa ili kuanza from the beginning.?
Na hesabu za hizo pesa azipangilie vp.?
Mkuu Kikubwa Anza na Kodi ya miezi 3, godoro la kishkaji tu.Wakuu, naomba kuuliza.
Kwa mtu anayeanza kuishi geto anatakiwa kuwa na angalau kiasi gani cha pesa ili kuanza from the beginning.?
Na hesabu za hizo pesa azipangilie vp.?