Ulianzaje kukaa gheto?

Unalipiwa kodi alafu unataka kumuachaa Boss[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aisee hatari snaa pole jamaa...!!
 
Kuna mmoja huyo yupo Tanga bac kila kukicha ni simu napigiwa et anataman aje tuishi wte,

mwngne huyu yupo shinyanga nae mwanzo aliniganda km kupe akitaka nimkaribishe Dar aje tuishi wte nikamchinjia baharn kmykmyaa,

Hawa viumbe ukimkarbisha tu unalo mjuba tuweni makini tu tamaa tuache,
 
Nilichoka kutoroka home kufatilia kitu kimoja kila siku, nikaamua liwalo na liwe nikapanga chumba tabata.
Mzee alivyosikia akaja kubeba vitu vyangu vyote akarudisha home [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtoto wa kike baba yko hawezi kukuacha hvhv uje mtaani wahuni tukuharibie maisha
 
Nilichoka kutoroka home kufatilia kitu kimoja kila siku, nikaamua liwalo na liwe nikapanga chumba tabata.
Mzee alivyosikia akaja kubeba vitu vyangu vyote akarudisha home [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…