Mimi ni Jobless pro max miaka nenda Rudi mzee😂😂 dah mkushi unazingua ww hali ya zamani ndo ulikua boss au sio 😂
Usikute ni mtaji tosha 🤣😂😂Kuna kiasi cha pesa nasubiri kitimie, najua kitatimia kabla ya mwezi wa 10 ambao ndio mwezi naotaka kuingia ghetto.
Sasa hv nimefikisha 75% ya pesa nayoitaka kuanzia nayo maisha ya ghetto.
Sijaajiriwa Ila kuna mahali najitolea hvy kuna vipesa najipatia.
N kweli mkuu, mana sina haraka c bado nakaa kwa shangazi na hakuna mambo mengi ya kuumizana kichwa 😂Usikute ni mtaji tosha 🤣😂😂
Ndio hivyo.[emoji23] duh pole aisee hv kwann mnawaachia geto wana wasio na imani hawana uchungu
Kuwa makini mzee, isije Ika ku costN kweli mkuu, mana sina haraka c bado nakaa kwa shangazi na hakuna mambo mengi ya kuumizana kichwa 😂
🔨Kuwa makini mzee, isije Ika ku cost
😂😂😂😂😂Dah, kuna mwanangu nilimuachia gheto nikaenda safari.
Nimerudi nimekuta jamaa kauza vitu vya ndani.
Miezi 8 sasa imetimia life is so good nina furaha sana na amani,Mungu ni mwemaNina mwezi mmoja Sasa toka nitoke home na kuhamia kwangu,
Huu uzi ulinihamasisha sana
alipe hela yako tu akuna ujamaaNdio hivyo.
Sema jamaa kashakamatwa.
Na mtu alieuziwa vitu yupo.
tupo sambamba mi nishapewa cheo cha ulijendi kwenye ujobless sasaMimi ni Jobless pro max miaka nenda Rudi mzee
Wahuni si watu😁😂tupo sambamba mi nishapewa cheo cha ulijendi kwenye ujobless sasa
Sio mzaha [emoji16]watu mmegoma kupanga [emoji23][emoji23]
Muambie fundi apige vanish na madoido fulani vivutie zaidi.View attachment 2996295
Haka ka dining table kananifaa wadau. Au mnasemaje?
mambo n magumu hatuondoki homeSio mzaha [emoji16]
Tutaondoka kwa mbinde sana [emoji1787]mambo n magumu hatuondoki home
Nimemuambia nataka kiwe hvyo hvyo apige vanish yenye rangi ya maji.Muambie fundi apige vanish na madoido fulani vivutie zaidi.