Nashukuru Serikali Ya Maguu walinihamisha mjini kunipeleka Hombolo wanashindwa kuja etii ooh siyo mjini .
Nilipofika huku nikajitwalia zangu nikapanga nyumba nzimaa wanaoweza kuja hawakai sana maana huku hakuna starehe kama town ana kaa siku mbili anaondoka .
Hahahahahaha Kuna mmoja alikuja kwangu kwa mara ya kwanza kabisa wakati yupo njiani akaagiza nimpikie ndizi nyama, nikawazaa jinsi gani alivyo mweupe kichwani nikaona isiwe kesi nikampikia kafika kala,.... Akaanza ooh leo napiga simu home kwamba nalala hapa kwako, kumbe alikuwa anataka kwenda kwa bwanake, nikamwambia hilo haliwezekani, usingizie upo kwangu kumbe upo unakojua mwenyewe big no,nenda kwenu ukaipange safari yako kwa mtindo mwingine
Ananionaga nuksi
Hahahahahahhahahahaha mama hao vilaza Ulikutana nao wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ha haaa! Umepambana sana mkuu! Hongera kwa hapo ulipofikia.Ngoja nisimulie kidogo
Nilipopata kazi nje kidogo ya mji...... Huko nlikokua nnaenda palikua na ndugu yangu nkampgia kua nakuja uko ntaomba hifadh ya mwezi mmja kwako... Akasema poa karibu sana...... Dah asiniambia kua kaowa na yeye anakachumba kamoja.. Juma tatu yake nkasepa home mazima kuanza safari
Dah kufuka uko nkareport kituo cha kazi...... Kufika kwa huyo ndugu yangu akawakaniombea kwa(juma) jamaa mmja hivi niwe nalala kwake sababu jamaa hana mambo mengi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16](nadhan mmeelewa) .. Jamaa kiroho safi kakubari... Kwahyo Kula nkawa nakura kwa ndugu huyo ila kulala ndo kwa jamaa siku zingine ilinibidi kununua chakura(mke wa ndugu yangu yaani shemeji alikua mkaksi kishenzi dah mkali anakalipa mbaya)
Sasa kumbe juma nae halipi kodi yeye yupo anaelipa kodi. Anaelipa kodi na mzee mmja hivi ambapo juma anafanya kazi
Sasa siku moja mim niliwah kidog kutoka kazin nkapitia pale kazini kwa juma ili nkachukue funguo ......nkamkuta huyo mzee Nkamuelekez Kua nmefata funguo.... Dah mzee aliwaka kishenzi kwanini anaweka watu bila kunambia na yeye ndie anaelipa kodi!.... Wakat huo juma hakuwepo kazin.
Bas nkawa nipo tu kitaa nazulula[emoji16][emoji16]
Baada ya muda juma kanichek ananilaum why Nmemfuat pale kwake..... Kua yeye anafokewa dah mzee Nlijickia vibaya sana
Jion alipolud akanambia voxser eeeh mzee kakasilika hivyo inabid uwe unakuja kulala kwa machale... Ila Kwaku Sina hela sina namna kwahy nkkitok kazin saa 11 nazururaaaaaaa weeweeee[emoji23][emoji23][emoji51] hadi saa4[emoji3][emoji16][emoji3]
Sas Nkamwambi ndugu yangu ngoj nkatafute chumba ata cha elf kumi akasema acha mimi hiki chumba nachokaa nnahama wiki hi ijumaa utahamia (kod ilikua bado ya mwez mmja)
Kwer jamaa alihama akaniachia chumba ila sasa ntalalia nini! Ntalala nmesimama?? [emoji23][emoji23]
Akasepa akaniachia kikapeti na neti tu[emoji16]
Basi mwanaume nkalala apo daaaah nkawa naamka usiku nnakaa nipumzike afu nalala tena[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]
Basi baada ya wiki nkawa nahis mbavu mbili zimekatika..... Ila nkatia moyo had mwez ukaisha....nkanunua sufuria na gas nkawa nnapika ukifika muda wakulala Nnawaza itakuaje
Afu kulikua kunavidudu vinaitwa sungusungu heeeeeeeh sikiaga tu kikikuotea icho lazim uluke[emoji16][emoji3]siku kikaniotea kwenye P.... U... M... B.. U dah nilitoa na mchozi.... Sasa nkawa nalala na nguo kama wale madaktar wa ebola yaan hakuna sehem nyama ya mwili inaonekana[emoji3][emoji3][emoji3] Hatimae miez mi3 ikafika nkanunua kitanda ......had sasa n takriban miez kadhaaView attachment 1175235View attachment 1175237
Eeeeh mishumaa tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani nacheka kama mazuri vile lol hayo yote ya nini sasa labdaAaah hawa ndugu zangu Wanyamwezi alafu wanapenda ushirikina sanaaa yani acha tu mpaka mm waliniroga ila niliwafurahisha na mm siyo wa sport sport .
Ndani full vikwolombezo vya kufukiza mishumaa inawaka ndani karibia week nzima nilipata changamoto hata kuwafukuza siwezi.
Weeeh wa hivyo wengi wanakuwaga marafiki wanaosoma chuo ambao hawawez kupanga room wanaotoka kwao wanapenda kusingizia siku akipata balaaa huko kesi inaweza kukuangukia
Eeeeh mishumaa tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani nacheka kama mazuri vile lol hayo yote ya nini sasa labda
Kabisaaaaa na mie sipendi mtu anigusishe kwenye mabalaa yake kila mtu abebe janga lake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeona eeeh na kiukweli sisi wanawake hatujiamini kwamba unaweza kupanga gheto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa mpenziNa wazaz wanachangia
Huelewi kiswahilihapo ni urafiki, shekilango road, kumbe we ni jirani yangu
Wakuu mungu ni mkubwa, mimi ni kijana nina miaka 22, saivi nmepata kazi ambayo kidogo itakua inanilipa vizuri tena ya serikali.
ila bado nko chuo ndo naingia mwaka wa 2 saivi, na nyumbani ni mkoani mbali kabisa, na hali ya nyumbani so nzuri kiafya apa naishi kwa ndugu yangu.
sasa apa mawazo ya kupanga ndo yamekuja maan nilkua naogopa kozi kuingi mtaani ivi ivi unaweza kurudisha mpira kwa golikipa.
saivi nawaza kupanga, mwaka huu haupitui wakuu na mimi ntakua na geto langu, yaani nina miaka 22 ila naagizwa vitunguu swaumu aibu sana, tuombeane wakuu
Ndugu zako hawakumind sasa ulivyosepa hom mapema?Mm nilipanga getho mapema sana kwa sababu wazazi wangu ni watu wa kusafir sana nikaona Hizi kero za kubak home Mara wajomba ma mabinamu wamejazana alafu vurug kwenye kazi wacha nikajipangie zangu sasa marafiki wa kike wengi wanazeekea makwao wakiona hivyo wanakuja kujazana ghetto ili wapate Uhuru wa kudanga vizur
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaambiwa kalete nyanya pale kwa mama juma...mkuu ww mambo kama yako poa basi ondoka tu...pakikunogea hapo utajikuta umemalza chuo bado upo tu apoWakuu mungu ni mkubwa, mimi ni kijana nina miaka 22, saivi nmepata kazi ambayo kidogo itakua inanilipa vizuri tena ya serikali.
ila bado nko chuo ndo naingia mwaka wa 2 saivi, na nyumbani ni mkoani mbali kabisa, na hali ya nyumbani so nzuri kiafya apa naishi kwa ndugu yangu.
sasa apa mawazo ya kupanga ndo yamekuja maan nilkua naogopa kozi kuingi mtaani ivi ivi unaweza kurudisha mpira kwa golikipa.
saivi nawaza kupanga, mwaka huu haupitui wakuu na mimi ntakua na geto langu, yaani nina miaka 22 ila naagizwa vitunguu swaumu aibu sana, tuombeane wakuu
Dawa yao wamkute shemej yao basiila changamoto nina marafiki wengi, wakijua napokaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] tiari nmeiva maana wachizi ua wanajitoa akili hawajui unapanga ili ue free.
tena nina mpango ntafte chumba na seble kabisa
Ndugu zako hawakumind sasa ulivyosepa hom mapema?
Ntakuja kukutembelea si hapo mamba jilo,[emoji41]Nashukuru Serikali Ya Maguu walinihamisha mjini kunipeleka Hombolo wanashindwa kuja etii ooh siyo mjini .
Nilipofika huku nikajitwalia zangu nikapanga nyumba nzimaa wanaoweza kuja hawakai sana maana huku hakuna starehe kama town ana kaa siku mbili anaondoka .