Mazimbu Yote Imetulia Au K/NdegeWakuu mwenye uzoefu na mitaa ya Moro town,naomba anisaidie wapi naweza pata geto fasta,kusiwe uswazi sana pia lisiwe bei ghali sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mzeebaba kama nakuona ulivyokuwa unalabuliwa na bimdashiiSiku hiyo nacheza Pooltable bi maza akanifuma, kwenda home alinimind sana na kipigo juu.. akaniambia usilale kwangu.. Ndio Mpaka sasa ninapoandika uzi huu!
@MerchanteHahhaah story yako inachekesha sana ila inaonyesha jinsi gani ulivyopambana.@Noah de voxser,
Sent using Jamii Forums mobile app
Bi mkubwa alikuwa sio wa kawaida..
Kwaiyo ukaanza kulala chini mkuu?
Sent from my SM-G9550 using Tapatalk
Mimi nilipangaga chumba huku nikiwa sina hela ya kununua kitanda, basi kila siku nikawa nazuga kama nampigia fundi seremala ili tu majirani wasikie "fundi unataka mbavu zote zisagike na sakafu ndugu yangu, hicho kitanda kinakamilika lini, kitanda kimoja unatengeneza mwaka mzima ndugu!!?". Maisha yalienda mdogo mdogo huko mbele nikapata pesa nikanunua kitanda na godoro kwa mpigo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilipangaga chumba huku nikiwa sina hela ya kununua kitanda, basi kila siku nikawa nazuga kama nampigia fundi seremala ili tu majirani wasikie "fundi unataka mbavu zote zisagike na sakafu ndugu yangu, hicho kitanda kinakamilika lini, kitanda kimoja unatengeneza mwaka mzima ndugu!!?". Maisha yalienda mdogo mdogo huko mbele nikapata pesa nikanunua kitanda na godoro kwa mpigo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilipangaga chumba huku nikiwa sina hela ya kununua kitanda, basi kila siku nikawa nazuga kama nampigia fundi seremala ili tu majirani wasikie "fundi unataka mbavu zote zisagike na sakafu ndugu yangu, hicho kitanda kinakamilika lini, kitanda kimoja unatengeneza mwaka mzima ndugu!!?". Maisha yalienda mdogo mdogo huko mbele nikapata pesa nikanunua kitanda na godoro kwa mpigo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitaka wajue tu sababu ya mimi kulala sakafuni kwamba ni kwa uzembe wa fundi seremala[emoji1] [emoji1]Haha unajiongelesha mwenyew kusaka excuse kwa majiran[emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana MkuuAise nakumbuka mwaka 2009 ,...nilivuoanza kukaa gheto kwangu nikiwa na miaka 21 tu ...nikiwa na kitanda cha 3 kwa 6 na sufuria 3 ...hapo nikiwa nimepanga
Mshua hakufaruhia kabisa uondokaji wangu , alizani nitafeli maisha ...haikuwah kutokea ...mpk leo
pamoja na kastool ka plastic ...mdogo mdogo na jiko la mafuta maisha yaakaanza kusonga na nilikuwa ugenini
Nilikuwa na kishughuli kilikiwa kinaniingizia sh 150,000 kwa mwezi ...
mpk leo namiliki mjengo wangu mkubwa kabisa vyumba 5 master bed room 2 .....yaaani nipo full
Maisha bwana sio mpk kuwa na hela nyingi ni kuamua tu...kwa mlio mwanza karibuni vijana mje mjifunze kwangu
Tafuta marafiki waliofanikiwa acha kukaa na marafiki walioshindwa hawawezi kukupa kabisa future