Aise nakumbuka mwaka 2009 ,...nilivuoanza kukaa gheto kwangu nikiwa na miaka 21 tu ...nikiwa na kitanda cha 3 kwa 6 na sufuria 3 ...hapo nikiwa nimepanga
Mshua hakufaruhia kabisa uondokaji wangu , alizani nitafeli maisha ...haikuwah kutokea ...mpk leo
pamoja na kastool ka plastic ...mdogo mdogo na jiko la mafuta maisha yaakaanza kusonga na nilikuwa ugenini
Nilikuwa na kishughuli kilikiwa kinaniingizia sh 150,000 kwa mwezi ...
mpk leo namiliki mjengo wangu mkubwa kabisa vyumba 5 master bed room 2 .....yaaani nipo full
Maisha bwana sio mpk kuwa na hela nyingi ni kuamua tu...kwa mlio mwanza karibuni vijana mje mjifunze kwangu
Tafuta marafiki waliofanikiwa acha kukaa na marafiki walioshindwa hawawezi kukupa kabisa future