flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,860
- 6,390
Mageto yao sindio hayo tunayoyapost sisi mabwana zaoWadada wa jf inamana hamna mageto au nyie tayar mshajenga? [emoji2]
Sent from my SM-G9550 using Tapatalk
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mageto yao sindio hayo tunayoyapost sisi mabwana zaoWadada wa jf inamana hamna mageto au nyie tayar mshajenga? [emoji2]
Sent from my SM-G9550 using Tapatalk
[emoji23][emoji23][emoji23] unanichokoza
Basi itakuwa macho yangu yananidanganya[emoji23][emoji23][emoji23] unanichokoza
Kabisa
Aiseeee mademu wa humu watakutamanije na ulivyo poa hilo poozzy hallo
Hahaha nani hawachi miss natafuta financial service au nakwede au shune au sweet love 😁😁😁😁😁
Big up mkuu...hakika hapo hurud tena nyumban ukimalza chuo...pia hongera kwakua inspired na kufanya kwelMimi nimeanza kukaa ghetto baada ya kusoma huu uzi nikatokea kutopenda hostel. Nilitafuta room mapema hata sikuulizia hostel. Chumba kipo nyumba salama na yenye ulinzi ingawa ni kidogo. Siwezi weka picha maana nina godoro, kapeti,feni, shoe rack. Sina kabati, tv, subwoofer wala madoido mengine. Hajawahi ingia demu kwenye room yangu. Nakusanya shilingi kadhaa nahisi nikiwa second year mwishoni ninunue kila kitu.
Mwaka ushaingia usijisahau nakukumbusha2Kwa sisi watoto wa mwisho inakua ni mbinde sana kuchomoka home, ila mwakani lazima kieleweke tu
Hahahaa
Nilitoka kwa kusema kabisa sirudi home baada ya chuo. Sina mkopo ndo maana nimelipia vitu kibao nikakosa hela ya kununua vitu vya ndani. Alafu pia sipendi bidhaa za kiswahili, haya masabufa ya Kodtec na Ailipu. Nitalazimika kununua vitu vya gharama hata nikitoka chuo nisivizuze.Big up mkuu...hakika hapo hurud tena nyumban ukimalza chuo...pia hongera kwakua inspired na kufanya kwel
Sent from my SM-G9550 using Tapatalk
JF kuna wanaume wasafi [emoji177] nacheki magheto ya watu