Why?Stress soon will knock ya door!
Lazima nije kukutembeleaMaisha ya ghetto raha San no stress, uwiiiiiiiiiiiiiih na me nna 3 days npo ghetton kwangu.
Yeaaah usisahau kuja na ile ndinga qareeh yenye viwango, parking ipoooohLazima nije kukutembelea
Yeaaah usisahau kuja na ile ndinga qareeh yenye viwango, parking ipooooh
Wee mwendokasi hiyo vepeeeee? Aaaaaah unakuja na ndinga qaree huku usajili ukiwa na jina cocastic mchecheto, hapo sasa lazima mambo yajipee. Uwiiiiiiiiiiih[emoji23][emoji23][emoji23]kwani nikipanda mwendokasi sifiki?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe bado umelala embu amkaaWee mwendokasi hiyo vepeeeee? Aaaaaah unakuja na ndinga qaree huku usajili ukiwa na jina cocastic mchecheto, hapo sasa lazima mambo yajipee. Uwiiiiiiiiiiih
Just wait and seeWhy?
Mzee wa KITM upo
Ni 100k mkuu10k?
Miminilimaliza chuo baada ya mwaka nikapata bonge la dili ndani ya mieizi mitatu nikapanga apartment Kunduch, nikanunua alteza, na fenicha zote za ndani na mazga zaga yote. Aisee kusema kweli nilianza ishi bila shida maana nilihamia nina kila kitu kuanzia kitanda, washing machine, friji na matakataka yote. But the good times hazi ku last for ever, baada ya miaka mitatu mambo yalinienda kombo balaa.Wakuu mambo vipi, Leo naomba tufanye kushare kila mtu jinsi alivyo chomoka Nyumbani kwao..Hii itatoa hamasa kwa wale waliokua nyumbani na kuogopa kuhama na kuanza kujitegemea.
Janga hili linawakumba wana vyuo wengi,unakuta mtu anamalza chuo akiwa labda ana 25 then anarud nyumbani ,mbaya zaid anasubir kazi..alaf kazi zenyew haijulkani utapata lini.
Hii inapelekea wana wengi kua na fear ya kuchomoka home...Kiukwel hali ya kukaa hom inakata sana..Mzee unakuta anachomoka anakuachia mikazi flani hivi howcome.
Ukija upande wa MMU ndio mambo yanakua sio mambo...mtoto anataka aje kukusalmia unaona soo kwasababu upo nyumbani..inakata sana hii
Tukija kwenye maisha ya kujituma tu..sometime unakosa hamasa ya kupambana kwasababu ugali wa bure,unalala bure,kila kitu bure..hii inakua ngumu kuwaza kwa mapana ili kuanza kukamilisha dream zako..
Pia inakata sana..pale wanao unakuta wapo na mageto yao..lakin wewe kwako ni tofauti.
Sasa naomba kila mmoja aseme alichomokaje home na kuanza kukomaa na maisha..Achilia changamoto zake kikubwa hapa ni kusepa kwa maza..
Mimi binafsi geto nilianza kukaa soon nilivyoingia chuo,,,nakumbuka nilipata room ya elf 50 nikaanza nayo kibish,nikanunua bed ya 150, 5 kwa 6,nikatafuta feni tu ya elf 35..si unajua joto la dar..nikaingia k.koo nikavuta subwoofer ya elf 75 tu...geto bila mziki sio geto ni choo,kujichek mfukoni boom likawa lishakata...basi nikaendelea kuishi geto hadi namalza chuo geto likawa limesheheni tu.
sasa baada ya kumalza chuo. Ndio nikarudi hom..ujinga niliofanya ni kurud hom na baadhi ya vitu niliviuza...Kasheshe ndio ipo saiz..wakuu hom akili inalala,,vibe yote hakuna ,hapa ndio najichanga nichomoke tena nirud geto nianze kupambana..hop ndan ya huu mwaka nitakua nishasepa hom kwa mara nyingine.
Sasa share kitu basi nawewe..
Nini lilikusukuma usepe home?
Kitu gani kilikupa mzuka wa kuanza kukaa geto?
Vipi ulianza kukaa geto ukiwa na kazi au kibishi tu?
Maisha yalkuaje since day one?
Je ulienjoy uamuzi wako wa kusepa home?
ulianza kununa vitu gani vya msingi na kuanza kuishi geto
Una lipi la kuwaambia wana walioko home hadi leo wakiogopa kukaa geto kisa hawana ajira bado?
Karibuni wakuu..
View attachment 878774
Ouk enx but ntapambana tyuuhJust wait and see
Wee niache nifaidi ghettho langu kwan, ntaamka baadae khaaaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe bado umelala embu amkaa
Wee niache nifaidi ghettho langu kwan, ntaamka baadae khaaaah
Technically speakingOuk enx but ntapambana tyuuh
Miminilimaliza chuo baada ya mwaka nikapata bonge la dili ndani ya mieizi mitatu nikapanga apartment Kunduch, nikanunua alteza, na fenicha zote za ndani na mazga zaga yote. Aisee kusema kweli nilianza ishi bila shida maana nilihamia nina kila kitu kuanzia kitanda, washing machine, friji na matakataka yote. But the good times hazi ku last for ever, baada ya miaka mitatu mambo yalinienda kombo balaa.
Mkuu kwa kipiindi hicho nilikuwa naingiza pesa nilikuwa napiga project flani nakula karibu miasaba kwa week au zaidi ukichanganya na ujana na sina wa kunitegemea basi nilikuwa nakula bata na kusafiri safiri maana kazi niiliyokuwa ninafanya ilikuwa inaniruhusu kuwa mahali kokote ili mradi kuna masaa flani kama tatu kwa siku niwe online. Sasa project ilikuja kukata baada ya huo muda sina biashara wala nini ila nilikuwa nimeanza jenga sehemu na ndo kwanza ninaanza... Nilipigika mwaka mzima sema mambo yakajaa kaa tena japo si kama awali.Mzee hukuzichanga karata vizuri...miaka mitatu ya kupanga kunduchi duu!!
FLY HIGH ALBERT MANGWEA
MmmmmhTechnically speaking
Aisee pole sana mkuu lakini hope ulijifunza kitu...!!Mkuu kwa kipiindi hicho nilikuwa naingiza pesa nilikuwa napiga project flani nakula karibu miasaba kwa week au zaidi ukichanganya na ujana na sina wa kunitegemea basi nilikuwa nakula bata na kusafiri safiri maana kazi niiliyokuwa ninafanya ilikuwa inaniruhusu kuwa mahali kokote ili mradi kuna masaa flani kama tatu kwa siku niwe online. Sasa project ilikuja kukata baada ya huo muda sina biashara wala nini ila nilikuwa nimeanza jenga sehemu na ndo kwanza ninaanza... Nilipigika mwaka mzima sema mambo yakajaa kaa tena japo si kama awali.