Ilikua ni ipi mkuuHapana Mkuu hizo ambo za adsense sijawahi fanikiwa japo nilishawahi zijaribu
Nilikuwa nafanya mambo ya marketing research na kampuni ya pili kwa ukubwa katika sekta ya marketing research duniani.Ilikua ni ipi mkuu
Alaf unakuta na yy anaishi geto..!We jamaa mbona unajikutaga dingi sana what does that help ya?
Wanapenda sana kujitofautisha na wengine.Alaf unakuta na yy anaishi geto..!
@KrikichinoKwa nnayopitia hapa nnapoishi mwaka Huu hauishi I'll be out.
Thomas Sankara once said "he who Feeds you Controls You"
We unaona Unakua ila mlezi bado anakuona kama A Ten Year Old. It hurts. Hasa kufokewa mbele za watu.
Anyway it's time to find out who I really am. Ugali wa Bure kwa mtoto wa kiume una karaha Sana.
Nashkuru Sana mleta uzi na wachangiaji wote. Mmenifunza Mno. Nadhani muda umefika Sasa for the bird to get out of the cage.
Beyonce - Formation
Wakati nlianzia huku@Krikichino
Akiri yako inabadilika kutokana na mazingila unayokuepo
Ukiwa nyumbani Bado upo nyumbani,akili yako haiwezi kunyumbuka Kama unaishi geto
Ukiwa getto ndio akili yako itanyumbuka kujua your special needs,ule Nini,uvae na Kodi pia
Mimi nmelalia mkeka kwa kipindi kirefu tu[emoji17]
Juu ya mkeka pana nguo ili mbavu zisiume ,sikua na mto zaidi ya begi la nguo,
Hebu nikupe picha zinaweza kukupa moyo.View attachment 1473231View attachment 1473232View attachment 1473233
Inspiration kwa kweli...!!! Vijana waache kuogopa maishaa...Wakati nlianzia huku
Kitu muhimu Ni money management
Kila shilingi inayotoka lazima iwe na umuhimu na ulazima wakutoka.View attachment 1473237View attachment 1473236
[emoji16][emoji16]aende akajaribuInspiration kwa kweli...!!! Vijana waache kuogopa maishaa...
TOKA HAPO NYUMBANI SIO SEHEMU SAHIHI KWAKO TENA LABDA KAMA BADO UNASOMA.
Kabisaa kujaribu ndo kitu cha msingii...[emoji16][emoji16]aende akajaribu
Aiseee ninjaa umetishaaa sanaaWakati nlianzia huku
Kitu muhimu Ni money management
Kila shilingi inayotoka lazima iwe na umuhimu na ulazima wakutoka.View attachment 1473237View attachment 1473236
Inatuchoma sana Ila no way.......[emoji16][emoji16]aende akajaribu
Dah[emoji16]Tulipanga chumba baada ya kupigwa exile na jamaa yangu usiku nikawa maeneo ya geto kama saa 7 usiku hapo tulishapanga na jamaa saa 8 nane anamtoa demu wake basi saa 7 ile sungu sungu wakanisomba aseeh nilizunguka nao mpaka saa kumi na moja wakanipelekwa kwa mwenyekit wa mtaa nilitoka pale saa moja asubuh . Siku ile ile nikatafuta dalali nikajisemea liwalo na liwe
Well said mkuuHongera sana mkuu...... vijana wa kiume 25+ age kama upo nyumbani fanya mchakato kama dharura vile utoke nyumban ukajitegemee.
Maisha ya getto matam sana vijana,
Ukitaka kujitegemea , kwanza tafuta kazi yoyote halali, piga kwa mwezi unaweza make sh ngapi then fanya yafuatayo.
Tafuta room unayoweza kulipa bila stress, lipia miez mitatu, nunua godoro,vyombo kidogo na chakula, na ubakiwe viela kidogo! Anza maisha kwa mapambano makuu, kama upo arusha nashauri kama kipato chako ni kdg, tafuta rum kwa morombo, mbauda, sanawari... ungaltd na kona ya esso usiende watakuua watu wabaya.
Mie nilianza kwa kitanda complete, vyombo , chakula na kodi 100K@ month nkalipa miez mitatu apo njiro single self moja hivi nzuri,
maisha yakaanza kwa uhuru wote.
Nimetafuna viumbe pale mpaka nkachoka....nikaamua kuacha hzo mambo kabsa, nikaham hapo,
Nimehamia sehemu nyngne hapa hapa arusha......huku nimeapa hakitaingia kitafunwa ndani kwangu tofauti na mchumba wangu, na MUNGU ananiimarsha kweli naendelea vema.
ThubutuInatuchoma sana Ila no way.......
Sema kwenye Maisha hutakiwi kujishauri SanaKabisaa kujaribu ndo kitu cha msingii...
Noted!Hongera sana mkuu...... vijana wa kiume 25+ age kama upo nyumbani fanya mchakato kama dharura vile utoke nyumban ukajitegemee.
Maisha ya getto matam sana vijana,
Ukitaka kujitegemea , kwanza tafuta kazi yoyote halali, piga kwa mwezi unaweza make sh ngapi then fanya yafuatayo.
Tafuta room unayoweza kulipa bila stress, lipia miez mitatu, nunua godoro,vyombo kidogo na chakula, na ubakiwe viela kidogo! Anza maisha kwa mapambano makuu, kama upo arusha nashauri kama kipato chako ni kdg, tafuta rum kwa morombo, mbauda, sanawari... ungaltd na kona ya esso usiende watakuua watu wabaya.
Mie nilianza kwa kitanda complete, vyombo , chakula na kodi 100K@ month nkalipa miez mitatu apo njiro single self moja hivi nzuri,
maisha yakaanza kwa uhuru wote.
Nimetafuna viumbe pale mpaka nkachoka....nikaamua kuacha hzo mambo kabsa, nikaham hapo,
Nimehamia sehemu nyngne hapa hapa arusha......huku nimeapa hakitaingia kitafunwa ndani kwangu tofauti na mchumba wangu, na MUNGU ananiimarsha kweli naendelea vema.
Sure mkuu, mtoto wa kiume ukikaa tu home akili inaalala, hainyumbuki kabisa, m nilipo Anza kukaa ghetto ndo nikakutana na changamoto za Maisha ikabidi niongeze ufanisi wa kazi ninayoifanya@Krikichino
Akiri yako inabadilika kutokana na mazingila unayokuepo
Ukiwa nyumbani Bado upo nyumbani,akili yako haiwezi kunyumbuka Kama unaishi geto
Ukiwa getto ndio akili yako itanyumbuka kujua your special needs,ule Nini,uvae na Kodi pia
Mimi nmelalia mkeka kwa kipindi kirefu tu[emoji17]
Juu ya mkeka pana nguo ili mbavu zisiume ,sikua na mto zaidi ya begi la nguo,
Hebu nikupe picha zinaweza kukupa moyo.View attachment 1473231View attachment 1473232View attachment 1473233