Ulianzaje kukaa gheto?

Pole mkuu life ndo huwa hivyo

Mm kama mm sipendag maden nilipata changamoto kama yako kipind nimemaliz chuo hakuna boom wala nn ilipidi nianze kuchoma baadh ya vitu ilinipate kodi huku nikiendelea kupigana kuchoma vitu namaanisha kuuza baadh ya vitu nakumbuka niliuzaga fridge yangu ili nipate laki 3 ya kodi ila mwish wa siku kila kitu kilijiweka sawa kweny maisha utakuwa na aman kama unasehem yako ya kukaa kula inakuja baadae mm nilikula wali chai mpaka nikawa nikipakua msosi napata kichefchef ila maisha yakaenda
mwenzenu nlikua gheto, biashara yangu ikabuma....nkakosa pesa ya kodi ...leo hii tarehe 14.06.2019 nmepiga kitu inaitwa U-turn

haya maisha sjui sie wengine tumeyakosea nn
 
dar bro....biashara ya usafirishaji
 
mwenzenu nlikua gheto, biashara yangu ikabuma....nkakosa pesa ya kodi ...leo hii tarehe 14.06.2019 nmepiga kitu inaitwa U-turn

haya maisha sjui sie wengine tumeyakosea nn
Usife moyo mkuu hauko mwenyewe amini. Endelea kukomaa kikubwa ujue umetelezea wapi. Kwa watoto wa kiume hiyo kawaida kabisa, piga moyo konde.
 
Malizia story mzee. What happened?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu. Ila ndio maisha ya ujana yanavyokuwa sometimes. Ukishtuka too late. Ila this time bila shaka hurudii tena ule ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]yan sikumbuk hata zilienda wap pamoja na earphone zangu nilikuwa peku kama mwiz ogopa unaulizwa kwann upo nje ...nikisema msela yupo na demu ndan ningechoma maana dem wa msela alikuwa form 3
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo sendo zilipopotelea hujui mzee? Ila watu wana historia sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]yan sikumbuk hata zilienda wap pamoja na earphone zangu nilikuwa peku kama mwiz ogopa unaulizwa kwann upo nje ...nikisema msela yupo na demu ndan ningechoma maana dem wa msela alikuwa form 3
Kweli mzee inabidi ufe kishujaa tu. Lakini mwamba huko ndani anakula vinono ilhali wewe umetaitiwa na wagambo unashirikiana nao ulinzi shirikishi. Haya maisha hayapo fair kabisa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…