mwenzenu nlikua gheto, biashara yangu ikabuma....nkakosa pesa ya kodi ...leo hii tarehe 14.06.2019 nmepiga kitu inaitwa U-turn
haya maisha sjui sie wengine tumeyakosea nn
mwenzenu nlikua gheto, biashara yangu ikabuma....nkakosa pesa ya kodi ...leo hii tarehe 14.06.2019 nmepiga kitu inaitwa U-turn
haya maisha sjui sie wengine tumeyakosea nn
dar bro....biashara ya usafirishajiPole mkuu Mungu atakujalia rehema zake utasimama tena, amini wewe sio wakwanza kudondoka mimi nilichoma laki 750 kwenye kuku na juice mkuu hiyo nilidunduliza tmiaka 3 ya chuo na biashara yangu ya kwanza ndo ikala mweleka...
ulikuw unafanya biashara gani na upo mkoa gani mkuu??
Usife moyo mkuu hauko mwenyewe amini. Endelea kukomaa kikubwa ujue umetelezea wapi. Kwa watoto wa kiume hiyo kawaida kabisa, piga moyo konde.mwenzenu nlikua gheto, biashara yangu ikabuma....nkakosa pesa ya kodi ...leo hii tarehe 14.06.2019 nmepiga kitu inaitwa U-turn
haya maisha sjui sie wengine tumeyakosea nn
Usijali mkuu ndio maisha hayo, utasimama tena.mwenzenu nlikua gheto, biashara yangu ikabuma....nkakosa pesa ya kodi ...leo hii tarehe 14.06.2019 nmepiga kitu inaitwa U-turn
haya maisha sjui sie wengine tumeyakosea nn
Malizia story mzee. What happened?Miminilimaliza chuo baada ya mwaka nikapata bonge la dili ndani ya mieizi mitatu nikapanga apartment Kunduch, nikanunua alteza, na fenicha zote za ndani na mazga zaga yote. Aisee kusema kweli nilianza ishi bila shida maana nilihamia nina kila kitu kuanzia kitanda, washing machine, friji na matakataka yote. But the good times hazi ku last for ever, baada ya miaka mitatu mambo yalinienda kombo balaa.
Endelea kusoma comments kuna sehemu nimeeleza
Pole mkuu, sahizi angalia biashara zenye kuhusisha chakula bro hizi ndogondogo zinatoa sana mkuu....dar bro....biashara ya usafirishaji
Pole sana mkuu. Ila ndio maisha ya ujana yanavyokuwa sometimes. Ukishtuka too late. Ila this time bila shaka hurudii tena ule ujinga.Mkuu kwa kipiindi hicho nilikuwa naingiza pesa nilikuwa napiga project flani nakula karibu miasaba kwa week au zaidi ukichanganya na ujana na sina wa kunitegemea basi nilikuwa nakula bata na kusafiri safiri maana kazi niiliyokuwa ninafanya ilikuwa inaniruhusu kuwa mahali kokote ili mradi kuna masaa flani kama tatu kwa siku niwe online. Sasa project ilikuja kukata baada ya huo muda sina biashara wala nini ila nilikuwa nimeanza jenga sehemu na ndo kwanza ninaanza... Nilipigika mwaka mzima sema mambo yakajaa kaa tena japo si kama awali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo sendo zilipopotelea hujui mzee? Ila watu wana historia sana.[emoji28][emoji28]sio poa hapo nilikuwa nimevaa sendo ule usiku ila mpaka asubuh kwa mwnykiti nilikuwa pekupeku
pamoja broPole mkuu, sahizi angalia biashara zenye kuhusisha chakula bro hizi ndogondogo zinatoa sana mkuu....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo sendo zilipopotelea hujui mzee? Ila watu wana historia sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inshallah week inayoanza kesho nitakuwa huko mjini....mambo yakikaa vizuri tutasomana mkuu hata kidogo uanze upyapamoja bro
Kweli mzee inabidi ufe kishujaa tu. Lakini mwamba huko ndani anakula vinono ilhali wewe umetaitiwa na wagambo unashirikiana nao ulinzi shirikishi. Haya maisha hayapo fair kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23]yan sikumbuk hata zilienda wap pamoja na earphone zangu nilikuwa peku kama mwiz ogopa unaulizwa kwann upo nje ...nikisema msela yupo na demu ndan ningechoma maana dem wa msela alikuwa form 3
Kweli mzee inabidi ufe kishujaa tu. Lakini mwamba huko ndani anakula vinono ilhali wewe umetaitiwa na wagambo unashirikiana nao ulinzi shirikishi. Haya maisha hayapo fair kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka those days mtaani kwetu tulianzishaga sungusungu. Wengi vijana wa primary tulikuwa tunashiriki na wakubwa. Walevi walikuwa wanaipata joto ya sauna.Hahaha wajinga wanakupa na silaha kabisa unakuwa kama sung sung
Aisee
Hongera sana mkuu