Ulianzaje kukaa gheto?

kwa sahivi nilpofikia,
fridge nlchukua laki 7
tv laki 6
godoro laki 2
kitanda laki 3
jiko laki 6 na 40
kochi laki 5
kodi nalipa laki 1
na vingine vingi, sahiv nmeanza kulipia na kiwanja, ata mwaka sijamalza god bless
Good
 
kwa sahivi nilpofikia,
fridge nlchukua laki 7
tv laki 6
godoro laki 2
kitanda laki 3
jiko laki 6 na 40
kochi laki 5
kodi nalipa laki 1
na vingine vingi, sahiv nmeanza kulipia na kiwanja, ata mwaka sijamalza god bless
Ndo unaanza mkuu au??? Maana hii ni nyumbaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
So now mishge gan
 
Hongera sana mkuu kwa mpambano mkali[emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…