miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,730
mkuu ilikuwaje?Nilijikuta tu nipo kwe ghetto la serikari
Haya wakuu mwaka ndo huo ushapinduka..kama hukusepa 2020 basi anza kupambana January hyo kuweka mambo sawa usepe
sawa sawa mkuunipo hapa gheto n,,dah asikuambie mtu life la gheto ni tamu balaa maana unakuwa free bila shida yoyte ile mie kesho ntalala hadi saa 10 jioni
😀 Karibu kwenye uzi wetu kiongozimkuu ilikuwaje?
mitano tena
sawa asante mkuu😀 Karibu kwenye uzi wetu kiongozi
Duh nikiwa mkubwa ntahama nyumbani sitaki kuamshwa amshwa mimi.[emoji1][emoji1] kutesa kwa zamu
2020 umekuwa na Changamoto nyingi sana na muomba Mungu 2021 uwe mwaka wa baraka nataka kwenda ghetto
Mimi pia ntaleta mrejesho 2021 Mungu akituweka hai... ghetto halitaepukika2020 umekuwa na Changamoto nyingi sana na muomba Mungu 2021 uwe mwaka wa baraka nataka kwenda ghetto
Nauunga mkono hoja hasa namba 7, huwezi kuja kutafunia manzi yako ghetto kwangu, a good thing hata Mimi sijawahi tafunia ghetto kwa wana.Npo nna 21 yrs ila geto langu kama la mwajiriwa kila kitu ndani kipo afu ukicheki om sio safi kivile..
SHERIA ZA GETO LANGU..
1:WANA NJOONI TUCHEKI BOLI KIJANA WENU KIFURUSHI NALIPIA ILA KULA KWAKO...
2:GETO LANGU KIPINDI CHA DISCUSSION GENDER ZOTE ILA UKIJIPENDEKEZA UNAKUJA KUCHEKI TAMTHILIA PEKE YAKO NIKIKUTAFUNA BAHATI MBAYA...
3: SIKU SHEMEJI YENU AKIJA HATA KAMA KUNA MANCHESTER NA CHELSEA JUA TUKO OFF..
4:UKIINGIA NDANI HICHI UMENUNUA SHILINGI NGAPI KILE WAPI SITAKI...
5:GETO LANGU LINATAKIWA LIWAKE ZAIDI YANGU.
6:BIBIE KUPENDEZA KWA GETO LANGU HAIMAANISHI UBEBE MZIGO WANGU TAKE CARE KUNA V.A.R...
7:GETO LANGU MCHEZAJI NI MIMI TU MAANA NDO NNAEFUA WANA MTANISAMEHE