Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Asante kwa uzi huu coz hapa nlipo ndo nipo kwenye process za kuhamia geto from home, sasa tatizo mshua amenigomea kuniruhusu.. kauli aliyonipa ni kuwa "mim kama baba sitakuruhusu ila wewe fanya maamuzi yako ukiamua nenda ukiamua baki. nenda kale kesho unipe majibu.. "

kiukweli home wananitegemea kwa shughuli mbalimbali (mm ni mtoto wa mwisho) ila sema mm ninamishe zangu na naona kama vile sishiriki kikamilifu nyumbani
 
Wakuu mambo vipi,,Leo naomba tufanye kushare kila mtu jinsi alivyo chomoka Nyumbani kwao..Hii itatoa hamasa kwa wale waliokua nyumbani na kuogopa kuhama na kuanza kujitegemea.

Janga hili linawakumba wana vyuo wengi,unakuta mtu anamalza chuo akiwa labda ana 25 then anarud nyumbani ,mbaya zaid anasubir kazi..alaf kazi zenyew haijulkani utapata lini.

Hii inapelekea wana wengi kua na fear ya kuchomoka home...Kiukwel hali ya kukaa hom inakata sana..Mzee unakuta anachomoka anakuachia mikazi flani hivi howcome.

Ukija upande wa MMU ndio mambo yanakua sio mambo...mtoto anataka aje kukusalmia unaona soo kwasababu upo nyumbani..inakata sana hii

Tukija kwenye maisha ya kujituma tu..sometime unakosa hamasa ya kupambana kwasababu ugali wa bure,unalala bure,kila kitu bure..hii inakua ngumu kuwaza kwa mapana ili kuanza kukamilisha dream zako..

Pia inakata sana..pale wanao unakuta wapo na mageto yao..lakin wewe kwako ni tofauti.

Sasa naomba kila mmoja aseme alichomokaje home na kuanza kukomaa na maisha..Achilia changamoto zake kikubwa hapa ni kusepa kwa maza..

##Mimi binafsi geto nilianza kukaa soon nilivyoingia chuo,,,nakumbuka nilipata room ya elf 50 nikaanza nayo kibish,nikanunua bed ya 150, 5 kwa 6,nikatafuta feni tu ya elf 35..si unajua joto la dar..nikaingia k.koo nikavuta subwoofer ya elf 75 tu...geto bila mziki sio geto ni choo,kujichek mfukoni boom likawa lishakata...basi nikaendelea kuishi geto hadi namalza chuo geto likawa limesheheni tu...
sasa baada ya kumalza chuo. Ndio nikarudi hom..ujinga niliofanya ni kurud hom na baadhi ya vitu niliviuza...Kasheshe ndio ipo saiz..wakuu hom akili inalala,,vibe yote hakuna ,hapa ndio najichanga nichomoke tena nirud geto nianze kupambana..hop ndan ya huu mwaka nitakua nishasepa hom kwa mara nyingine.

Sasa share kitu basi nawewe..

#Nini lilikusukuma usepe home?
#Kitu gani kilikupa mzuka wa kuanza kukaa geto?
#Vipi ulianza kukaa geto ukiwa na kazi au kibishi tu?
#Maisha yalkuaje since day one?
#Je ulienjoy uamuzi wako wa kusepa home?
#ulianza kununa vitu gani vya msingi na kuanza kuishi geto
#Una lipi la kuwaambia wana walioko home hadi leo wakiogopa kukaa geto kisa hawana ajira bado?

Karibuni wakuu..

View attachment 878774
Daah, wakat naingia getto ilikuwa ni mwendo kuunga unga sana. Kwanza godoro lilikuwa sii mchezo, nilikuwa nikiona mawingu tuu angani naishiwa pozi sababu najua nitakuta getto limejaa maji km mvua itanyesha
 
Sasa mi nipo ghetto ulaya sasa story yangu mtaielewa kweli nimekuja ulaya simjui mtu hata mmoja yani ni stress ***** ila now life linasonga nzuri kuliko bongo japo bongo sikuwa na life baya ila bora ulaya bwana unaheshimika hapo bongo unaweza ukawa kichaa kichaa na bado usiteuliwe uwaziri
 
Kufupisha story ni kwamba gari ile niliifanya uber kipindi hicho ndo uber imeanza hope nilizisha mapambano kwani nlikuwa nahakikisha nalaza laki kila siku ya mungu na wife wakati yupo na ujauzito mkubwa akaajiri mtu wa kusambaza vitu vyake kwa wateja huku na mimi nikisambaza vyangu kwa gari huku wakati mwengne nikimsambazia na yeye,mwisho wa siku nilifungua duka ambalo wife baada a kujifungua akawa ndo msimamizi na pia deni la mzee la 20k kila siku nililitimiza na mwisho wa siku gari ikawa yetu,nakumbuka siku ya harusi babamkwe akatupa kiwanja kwa ksema altupa mtihani wa kujinunulia wenyewe means ile hela tulokuwa tunampa kila siku aliitu za na kutununulia zawadi ya kiwanja huk nasi tukiwa na vingine vitatu hiyo ndo story yangu ya geto ambayo imenipa mke na nyumba ambayo naimalizia now,watoto wangu mapacha,pamoja na gari 3,maduka na biashara nyingine na kunifanya nisahau kuajiriwa japo nna degree yangu ya first class
Sasa wazee wako vp mbona umesema mkwe wako tuu
 
Sasa mi nipo ghetto ulaya sasa story yangu mtaielewa kweli nimekuja ulaya simjui mtu hata mmoja yani ni stress ***** ila now life linasonga nzuri kuliko bongo japo bongo sikuwa na life baya ila bora ulaya bwana unaheshimika hapo bongo unaweza ukawa kichaa kichaa na bado usiteuliwe uwaziri
Geto geto kaka[emoji3] hata liwe ulaya
 
Asante kwa uzi huu coz hapa nlipo ndo nipo kwenye process za kuhamia geto from home, sasa tatizo mshua amenigomea kuniruhusu.. kauli aliyonipa ni kuwa "mim kama baba sitakuruhusu ila wewe fanya maamuzi yako ukiamua nenda ukiamua baki. nenda kale kesho unipe majibu.. "

kiukweli home wananitegemea kwa shughuli mbalimbali (mm ni mtoto wa mwisho) ila sema mm ninamishe zangu na naona kama vile sishiriki kikamilifu nyumbani
Dah..kaa nae upya mkuu umueleze atakubali..tu...huu muda wa mapambano kaka...sasa hom inakua howcome...yeye mwenyew am sure aliondoka kwao mapema tu
 
Wakuu mambo vipi,,Leo naomba tufanye kushare kila mtu jinsi alivyo chomoka Nyumbani kwao..Hii itatoa hamasa kwa wale waliokua nyumbani na kuogopa kuhama na kuanza kujitegemea.

Janga hili linawakumba wana vyuo wengi,unakuta mtu anamalza chuo akiwa labda ana 25 then anarud nyumbani ,mbaya zaid anasubir kazi..alaf kazi zenyew haijulkani utapata lini.

Hii inapelekea wana wengi kua na fear ya kuchomoka home...Kiukwel hali ya kukaa hom inakata sana..Mzee unakuta anachomoka anakuachia mikazi flani hivi howcome.

Ukija upande wa MMU ndio mambo yanakua sio mambo...mtoto anataka aje kukusalmia unaona soo kwasababu upo nyumbani..inakata sana hii

Tukija kwenye maisha ya kujituma tu..sometime unakosa hamasa ya kupambana kwasababu ugali wa bure,unalala bure,kila kitu bure..hii inakua ngumu kuwaza kwa mapana ili kuanza kukamilisha dream zako..

Pia inakata sana..pale wanao unakuta wapo na mageto yao..lakin wewe kwako ni tofauti.

Sasa naomba kila mmoja aseme alichomokaje home na kuanza kukomaa na maisha..Achilia changamoto zake kikubwa hapa ni kusepa kwa maza..

##Mimi binafsi geto nilianza kukaa soon nilivyoingia chuo,,,nakumbuka nilipata room ya elf 50 nikaanza nayo kibish,nikanunua bed ya 150, 5 kwa 6,nikatafuta feni tu ya elf 35..si unajua joto la dar..nikaingia k.koo nikavuta subwoofer ya elf 75 tu...geto bila mziki sio geto ni choo,kujichek mfukoni boom likawa lishakata...basi nikaendelea kuishi geto hadi namalza chuo geto likawa limesheheni tu...
sasa baada ya kumalza chuo. Ndio nikarudi hom..ujinga niliofanya ni kurud hom na baadhi ya vitu niliviuza...Kasheshe ndio ipo saiz..wakuu hom akili inalala,,vibe yote hakuna ,hapa ndio najichanga nichomoke tena nirud geto nianze kupambana..hop ndan ya huu mwaka nitakua nishasepa hom kwa mara nyingine.

Sasa share kitu basi nawewe..

#Nini lilikusukuma usepe home?
#Kitu gani kilikupa mzuka wa kuanza kukaa geto?
#Vipi ulianza kukaa geto ukiwa na kazi au kibishi tu?
#Maisha yalkuaje since day one?
#Je ulienjoy uamuzi wako wa kusepa home?
#ulianza kununa vitu gani vya msingi na kuanza kuishi geto
#Una lipi la kuwaambia wana walioko home hadi leo wakiogopa kukaa geto kisa hawana ajira bado?

Karibuni wakuu..

View attachment 878774
Zuri kama ni lako mkuu
 
Fanya hivyo mkuu. Ukianza kujitegemea na akili ya maisha unaipata chap. Mambo mengine yanakuja na hata heshima home.inarudi mkuu
Natamani kukaaaa ghetto na mm nianze ku experience life la kujipikia ila tatzo japa nakaa kwa Ndugu ana bonge la nyumbaaaa afuu vyumba vingine vipo empty aseeeee muda mwingne naachiwaga home nzima











but still university student hapa kwa Baba kegan.





but next year lazima kieleweke.
 
Mimi nilipomaliza tu chuo nikapata sehemu ya kujitolea wakawa wananipa hela kidogo nilikuwa nakaa home ila sikuweza kununua kitu nawakati nakula bure hela naenda tu saluni
Siku nilipochoka kujitolea nikaondoka na home nikawa nakaa na rafiki angu tunashare kodi na nilikuwa sina kaz lakini niliweza kununua vitu vingi tu

Sasa kama huna kazi pesa ulikua unaazipata wapi?
 
Back
Top Bottom