Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

kwanza sijawahi penda maisha ya bweni au hostel toka naanza form1..advance nilikua shule ya bweni ila sikua nakaa huko zaidi ya kipindi cha mitihani..kuna jamaa alikua mtaani nilikua nastay nae huku nikipiga mishe mbalimbali za pesa..Baada ya kutoja jkt kwa mujibu na kuchaguliwa chuo pendwa hapa tz kwa Makonda nikapangiwa hostel..kumbuka muda huo nachukia hostel kinoma.Basi nikajipiga bum langu la kwanza nikajipeleka ushuani kwa watoto wa aru na ud wanaelewa(savei) mana kodi bei mbaya..siku ya kwanza nililala chini..ya pili nikaweka godoro,kitanda,gesi,feni,kisabufa cha kuzugia na makorokoro mengine..nilistay pale mpaka mwaka unaisha..mwaka uliofata nikahamia sehemu nyingine huko nikaweka kila kitu cha ndani mapaka washikaji wakawa wanasema we jamaa utafikiri mfanyakazi wa benki wakati bum wote sawa na world cup walikua wanacheki kwangu..kiufupi nilikua mjanja sana kutafuta pesa ili nisiguse kabisa hostel na sitarajii kurudi home
 
Kwaiyo bado umetulia hom? [emoji3][emoji3]
Dah acha asee! Masista walinisihi sana nijipange zaidi mi nikawaambia mi mwanaume acheni nikajifunze life dah hata miezi miwili haikuisha nikaona hapa bora ninyooshe mikono juu nikajipange zaid[emoji1]
 
kwanza sijawahi penda maisha ya bweni au hostel toka naanza form1..advance nilikua shule ya bweni ila sikua nakaa huko zaidi ya kipindi cha mitihani..kuna jamaa alikua mtaani nilikua nastay nae huku nikipiga mishe mbalimbali za pesa..Baada ya kutoja jkt kwa mujibu na kuchaguliwa chuo pendwa hapa tz kwa Makonda nikapangiwa hostel..kumbuka muda huo nachukia hostel kinoma.Basi nikajipiga bum langu la kwanza nikajipeleka ushuani kwa watoto wa aru na ud wanaelewa(savei) mana kodi bei mbaya..siku ya kwanza nililala chini..ya pili nikaweka godoro,kitanda,gesi,feni,kisabufa cha kuzugia na makorokoro mengine..nilistay pale mpaka mwaka unaisha..mwaka uliofata nikahamia sehemu nyingine huko nikaweka kila kitu cha ndani mapaka washikaji wakawa wanasema we jamaa utafikiri mfanyakazi wa benki wakati bum wote sawa na world cup walikua wanacheki kwangu..kiufupi nilikua mjanja sana kutafuta pesa ili nisiguse kabisa hostel na sitarajii kurudi home
Dah jamaa umetisha sana....geto kama mfanyakaz wa serkalin anaelipwa laki 8
 
Wakuu mambo vipi,,Leo naomba tufanye kushare kila mtu jinsi alivyo chomoka Nyumbani kwao..Hii itatoa hamasa kwa wale waliokua nyumbani na kuogopa kuhama na kuanza kujitegemea.

Janga hili linawakumba wana vyuo wengi,unakuta mtu anamalza chuo akiwa labda ana 25 then anarud nyumbani ,mbaya zaid anasubir kazi..alaf kazi zenyew haijulkani utapata lini.

Hii inapelekea wana wengi kua na fear ya kuchomoka home...Kiukwel hali ya kukaa hom inakata sana..Mzee unakuta anachomoka anakuachia mikazi flani hivi howcome.

Ukija upande wa MMU ndio mambo yanakua sio mambo...mtoto anataka aje kukusalmia unaona soo kwasababu upo nyumbani..inakata sana hii

Tukija kwenye maisha ya kujituma tu..sometime unakosa hamasa ya kupambana kwasababu ugali wa bure,unalala bure,kila kitu bure..hii inakua ngumu kuwaza kwa mapana ili kuanza kukamilisha dream zako..

Pia inakata sana..pale wanao unakuta wapo na mageto yao..lakin wewe kwako ni tofauti.

Sasa naomba kila mmoja aseme alichomokaje home na kuanza kukomaa na maisha..Achilia changamoto zake kikubwa hapa ni kusepa kwa maza..

##Mimi binafsi geto nilianza kukaa soon nilivyoingia chuo,,,nakumbuka nilipata room ya elf 50 nikaanza nayo kibish,nikanunua bed ya 150, 5 kwa 6,nikatafuta feni tu ya elf 35..si unajua joto la dar..nikaingia k.koo nikavuta subwoofer ya elf 75 tu...geto bila mziki sio geto ni choo,kujichek mfukoni boom likawa lishakata...basi nikaendelea kuishi geto hadi namalza chuo geto likawa limesheheni tu...
sasa baada ya kumalza chuo. Ndio nikarudi hom..ujinga niliofanya ni kurud hom na baadhi ya vitu niliviuza...Kasheshe ndio ipo saiz..wakuu hom akili inalala,,vibe yote hakuna ,hapa ndio najichanga nichomoke tena nirud geto nianze kupambana..hop ndan ya huu mwaka nitakua nishasepa hom kwa mara nyingine.

Sasa share kitu basi nawewe..

#Nini lilikusukuma usepe home?
#Kitu gani kilikupa mzuka wa kuanza kukaa geto?
#Vipi ulianza kukaa geto ukiwa na kazi au kibishi tu?
#Maisha yalkuaje since day one?
#Je ulienjoy uamuzi wako wa kusepa home?
#ulianza kununa vitu gani vya msingi na kuanza kuishi geto
#Una lipi la kuwaambia wana walioko home hadi leo wakiogopa kukaa geto kisa hawana ajira bado?

Karibuni wakuu..

View attachment 878774
mkuu hapo kwenye avatar ndo wewe mkuu?? naona mtoto wa kike kanona aseeeeeeeeee , , ,ila sio mbaya tutambulishe japo ...
 
Niliamua mwenyewe kwamba nahama, alafu sikusema. Nikanunua Kila Kitu ndani kwa siku moja ( nilikuwa na hela). Nikaa kama mwezi , nikasikia nyumbani kinawaka Mama hadi wajomba pia zangu wanawaka. Nakawapigia simu mmoja moja nikawaambia Mzee wangu hakuwa na Shida ila Mama ilikuwa taabu nakumbuka hadi nilimwambia " aah! sasa hivi nina marafiki wengi kuliko mwanzo, nina Marafiki wa Kiume na Kike pia alafu Mamaangu sasa hivi nakosa uhuru hapo kwako kuna mambo mengine siwezi kufanya nikiwa hapo ila nikiwa peke yangu nafanya. Najua hata hapo kwako siwezi kukaa milele, nitatoka na huu ndio muda wa kutoka" Mama akacheka akaniambia basi usipende kupikapika saana muda mwingine uwe unakula kwa Mama au Baba lishe ( hili neno lake nililing'amua baadae sana).
Maisha yanaendelea, haki nimejifunza mambo mengi huku kitaa!
 
Niliamua mwenyewe kwamba nahama, alafu sikusema. Nikanunua Kila Kitu ndani kwa siku moja ( nilikuwa na hela). Nikaa kama mwezi , nikasikia nyumbani kinawaka Mama hadi wajomba pia zangu wanawaka. Nakawapigia simu mmoja moja nikawaambia Mzee wangu hakuwa na Shida ila Mama ilikuwa taabu nakumbuka hadi nilimwambia " aah! sasa hivi nina marafiki wengi kuliko mwanzo, nina Marafiki wa Kiume na Kike pia alafu Mamaangu sasa hivi nakosa uhuru hapo kwako kuna mambo mengine siwezi kufanya nikiwa hapo ila nikiwa peke yangu nafanya. Najua hata hapo kwako siwezi kukaa milele, nitatoka na huu ndio muda wa kutoka" Mama akacheka akaniambia basi usipende kupikapika saana muda mwingine uwe unakula kwa Mama au Baba lishe ( hili neno lake nililing'amua baadae sana).
Maisha yanaendelea, haki nimejifunza mambo mengi huku kitaa!
Embu fumbua hilo fumbo mkuu..mbona tata [emoji3][emoji3]
 
Niliamua mwenyewe kwamba nahama, alafu sikusema. Nikanunua Kila Kitu ndani kwa siku moja ( nilikuwa na hela). Nikaa kama mwezi , nikasikia nyumbani kinawaka Mama hadi wajomba pia zangu wanawaka. Nakawapigia simu mmoja moja nikawaambia Mzee wangu hakuwa na Shida ila Mama ilikuwa taabu nakumbuka hadi nilimwambia " aah! sasa hivi nina marafiki wengi kuliko mwanzo, nina Marafiki wa Kiume na Kike pia alafu Mamaangu sasa hivi nakosa uhuru hapo kwako kuna mambo mengine siwezi kufanya nikiwa hapo ila nikiwa peke yangu nafanya. Najua hata hapo kwako siwezi kukaa milele, nitatoka na huu ndio muda wa kutoka" Mama akacheka akaniambia basi usipende kupikapika saana muda mwingine uwe unakula kwa Mama au Baba lishe ( hili neno lake nililing'amua baadae sana).
Maisha yanaendelea, haki nimejifunza mambo mengi huku kitaa!
Kaka ulitisha...ulkua upo full ikawa rahis pia..
 
Niliamua mwenyewe kwamba nahama, alafu sikusema. Nikanunua Kila Kitu ndani kwa siku moja ( nilikuwa na hela). Nikaa kama mwezi , nikasikia nyumbani kinawaka Mama hadi wajomba pia zangu wanawaka. Nakawapigia simu mmoja moja nikawaambia Mzee wangu hakuwa na Shida ila Mama ilikuwa taabu nakumbuka hadi nilimwambia " aah! sasa hivi nina marafiki wengi kuliko mwanzo, nina Marafiki wa Kiume na Kike pia alafu Mamaangu sasa hivi nakosa uhuru hapo kwako kuna mambo mengine siwezi kufanya nikiwa hapo ila nikiwa peke yangu nafanya. Najua hata hapo kwako siwezi kukaa milele, nitatoka na huu ndio muda wa kutoka" Mama akacheka akaniambia basi usipende kupikapika saana muda mwingine uwe unakula kwa Mama au Baba lishe ( hili neno lake nililing'amua baadae sana).
Maisha yanaendelea, haki nimejifunza mambo mengi huku kitaa!
Alimaanisha nini hapo?
 
Back
Top Bottom