Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,858
- 14,733
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukuru Mungu, huo moshi unaua asee.Nimeishi na pikipiki ndani kwa muda Honda 50 Super Cab jijini Tanga. Kila asubuhi naamka nimelewa harufu ya petrol, kalikuwa kana-float carburator yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda hakusoma form 1 na darasa la sabaNilikuwa najaribu kucalculate hizo hesabu za mwamba, mwisho wa siku nikapotezea tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ma legendary ndio wanaelewa faida ya ya hivyo vitatu redio godoro na jikoWengi wanaanza na "Godoro, jiko na sabufa"
Asante mkuu sema inaonekana upo maulaya uko
[emoji1787][emoji1787] Ndio mimi huyohuyo woteNimesema shune sio shunie [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
😂😂😂😂😂
Mimi hapa niko mbioni kuurudisha2020 hii hamna alierudisha mpira kwa kipa?!
Windo langu lilifanikiwa huwezi amini mkuu [emoji40][emoji40]
Usiurudishe kwa kipa,nipasieMimi hapa niko mbioni kuurudisha
Mbona kwenye avatar namuona shune nasio shunie harafu bado mbichi yaani[emoji1787][emoji1787] Ndio mimi huyohuyo wote
[emoji3][emoji3][emoji3], ukorofi huo Lord e, na nishamfata pm tayari[emoji848]Hahaha nani hawachi miss natafuta financial service au nakwede au shune au sweet love [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nahisi,narudisha soon [emoji849][emoji849]2020 hii hamna alierudisha mpira kwa kipa?!
Parody hilo[emoji3][emoji3][emoji3], ukorofi huo Lord e, na nishamfata pm tayari[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado nipo kwa Baba, na Baba yupo kwa Babu.