Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini usijichange udake hata 32 ndo uanze nayo?Oy week ijayo nanunua flat inch 20 na tv show case nimemuambia fundi aichonge kwa 100,nimemkatia 45000 kama advance,tv badjet yangu ni 200000 sijui kama nitafanikiwa..niombeeni wadau nisupate majanga hapa katikati
Big up sana mkuu[emoji119][emoji119]Haikuwa kazi rahisi but hatimae ninajivunia mji wanguView attachment 2208555
Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23]Pazia km pazia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuzuri, hongera sana.Haikuwa kazi rahisi but hatimae ninajivunia mji wanguView attachment 2208555
Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
Ngoja nipambane nichukue hata 24, 250+ naweza kujichanga ...sema nna mambo mengi na huu uzi ndo unanipa midadi,baada ya kuupitia huu uzi niligundua kuwa nachezaKwanini usijichange udake hata 32 ndo uanze nayo?
Hizo picha 😍Haikuwa kazi rahisi but hatimae ninajivunia mji wanguView attachment 2208555
Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
Ukifika mpaka 250Ngoja nipambane nichukue hata 24, 250+ naweza kujichanga ...sema nna mambo mengi na huu uzi ndo unanipa midadi,baada ya kuupitia huu uzi niligundua kuwa nacheza
Nipo makambako mkuu,flat za huku sanasana kuna star x,boss,skyworth,sundar,solarmax,aborder yan flat flan sio kiviiiileeUkifika mpaka 250
Unaweza kufika 350 ya nchi 32 ‘ kama upo dar.. ila hisense kwa bei hiyo hupati
Naonaga wanasema heri star x katika hizo ulizotaja..Nipo makambako mkuu,flat za huku sanasana kuna star x,boss,skyworth,sundar,solarmax,aborder yan flat flan sio kiviiiilee
[emoji23]Unanisema kijanja [emoji28][emoji28][emoji23][emoji28]
Aje kuchukua yangu 25' inch, 200k bado mpya na boksi lake kabisaKwanini usijichange udake hata 32 ndo uanze nayo?
Upo wap mdauAje kuchukua yangu 25' inch, 200k bado mpya na boksi lake kabisa
Kibamba, Dar.Upo wap mdau