Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Alafu kijana mwenye "nguvu umekamilika" nasema mapema jitambue umri kuanzia 18-29 unatakiwa ukae Getto, 30-37 ukae kuanzia master, sebule na jiko, 38 na kuendelea uwe unaishi Master, Chumba, Jiko na Sebule. au uishi ktk Nyumba nzima pekeako iwe umejenga au umepanga. Sasa unakuta mtu mzima 30+ upo umejibana na chumba kimoja kama mwanafunz. Haileti heshima na unaonekana huna akili. Hata wanawake wana wakimbia kwasabab akija kwako anaona huyu mtu mbona anaishi kama mwanafunz. Hata ndugu zako wanakukwepa wanajua huna akili.
Acha kuadd unnecessary pressure to their hustles.
 
IMG_7409.jpg

Cc [mention]Kelsea [/mention]
Me sio freemasonry ndugu zangu[emoji28]
 
Alafu kijana mwenye "nguvu umekamilika" nasema mapema jitambue umri kuanzia 18-29 unatakiwa ukae Getto, 30-37 ukae kuanzia master, sebule na jiko, 38 na kuendelea uwe unaishi Master, Chumba, Jiko na Sebule. au uishi ktk Nyumba nzima pekeako iwe umejenga au umepanga. Sasa unakuta mtu mzima 30+ upo umejibana na chumba kimoja kama mwanafunz. Haileti heshima na unaonekana huna akili. Hata wanawake wana wakimbia kwasabab akija kwako anaona huyu mtu mbona anaishi kama mwanafunz. Hata ndugu zako wanakukwepa wanajua huna akili.
Mbona unapangia watu matumizi ya rasilimali zao?
 
Mimi bado nipo om illa nmeshanunua kitanda 5x6 na godoro lake ,pia nmenunua mtungi wa gas kitaa tu hapa ,meza na stuli zake mbili na vidude vingne vidogo vidogo kama sufuria mapazia na ndoo na vyombo vya kulia. Na pesa hta ya kupanga chumba miezi sita nnayo na pesa ya kunua chakula cha kuanzia nnayo na inanibakia akiba kama 300k . Lakini changamoto inayonikwamisha nmekosa mishe ya kunisaidia kuzngusha ela kwa sasa ndo kinachonipa waswas hta nkichomoka home naweza nkafeli mapema ikawa shida tena .

Naombeni ushauri ndugu zangu nifanyeje?.
Nlipost hiii mwaka 2020 na badae December mwaka huo huo nikawa nasepa maskan kwenda kuanza maisha kitaaa bila kuwa na mishe yoyote. Kiukweli nilipiga kazi yoyote iliokuja mbele yangu na hiii ikansaidia kukutana na washikaj mbalimbali ambao ikasaidia kupeana michongo. Hadi Sasa npo get naona hatua zinaenda ila kwa mwendo wa Kobe.
 
Nlipost hiii mwaka 2020 na badae December mwaka huo huo nikawa nasepa maskan kwenda kuanza maisha kitaaa bila kuwa na mishe yoyote. Kiukweli nilipiga kazi yoyote iliokuja mbele yangu na hiii ikansaidia kukutana na washikaj mbalimbali ambao ikasaidia kupeana michongo. Hadi Sasa npo get naona hatua zinaenda ila kwa mwendo wa Kobe.
Hongera bro keep pushing
 
Alafu kijana mwenye "nguvu umekamilika" nasema mapema jitambue umri kuanzia 18-29 unatakiwa ukae Getto, 30-37 ukae kuanzia master, sebule na jiko, 38 na kuendelea uwe unaishi Master, Chumba, Jiko na Sebule. au uishi ktk Nyumba nzima pekeako iwe umejenga au umepanga. Sasa unakuta mtu mzima 30+ upo umejibana na chumba kimoja kama mwanafunz. Haileti heshima na unaonekana huna akili. Hata wanawake wana wakimbia kwasabab akija kwako anaona huyu mtu mbona anaishi kama mwanafunz. Hata ndugu zako wanakukwepa wanajua huna akili.
Hii ni sheria ama

Vp ukiwa na miaka 25 na una nyumba y'ako hii sheria inakuhukumu pia umewahi ama yenyewe inaangalia ukichelewa tu
 
oya we mzee em toa tips namna ya kuandaa kitu hcho[emoji2]

[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu hapa lazima uwe na viaz
Tangawiz,kitunguu swaumu carrot na hoho
Na kitunguu maji[emoji1316]
 
Hii ni sheria ama

Vp ukiwa na miaka 25 na una nyumba y'ako hii sheria inakuhukumu pia umewahi ama yenyewe inaangalia ukichelewa tu
Kwenye utafutaji na kufanikiwa haitegemei umri kinachozingatiwa ni wewe katika mipango yako, bahati, miongozo yako na waliokuzunguka.

Unaweza kufanikiwa katika umri mdogo lakini ukafika umri wa kati na utu uzima mafanikio yakayeyuka.

Unaweza kutafuta hufanikiwi katika umri mdogo na kati lakini ukafanikiwa na umri wa utu uzima mpaka uzeeni.

Kwahiyo aliye na umri mkubwa na bado anatafuta na bado hajafanikiwa asikate tamaa atafanikiwa mbeleni cha msingi asiache kufanya kazi. Kila mtu ana bahati yake.

Tusiwafungie watu kwenye nira ya mafinikio katika umri.Mafanikio huja wakati wowote muda wowote. Subira na kudra za Mwenyezi Mungu zinahitajika kwa kila aaminiye.
 
Kwenye utafutaji na kufanikiwa haitegemei umri kinachozingatiwa ni wewe katika mipango yako, bahati, miongozo yako na waliokuzunguka.

Unaweza kufanikiwa katika umri mdogo lakini ukafika umri wa kati na utu uzima mafanikio yakayeyuka.

Unaweza kutafuta hufanikiwi katika umri mdogo na kati lakini ukafanikiwa na umri wa utu uzima mpaka uzeeni.

Kwahiyo aliye na umri mkubwa na bado anatafuta na bado hajafanikiwa asikate tamaa atafanikiwa mbeleni cha msingi asiache kufanya kazi. Kila mtu ana bahati yake.

Tusiwafungie watu kwenye nira ya mafinikio katika umri.Mafanikio huja wakati wowote muda wowote. Subira na kudra za Mwenyezi Mungu zinahitajika kwa kila aaminiye.
Umesema kweli mkuu, big up sana.
 
Back
Top Bottom