Mzeya umetisha...yaani kasofa ka machinjio kapo karibu na uwanja wa sita kwa sita🤣🤣🤣🤣Kale ka getto chetu kanazidi kujaaView attachment 2267695
Nimeioenda hii mbuni. Yule aliyekuwa anauliza unamtoaje demu toka kwenye kochi hadi kitandani achukue hii mbinu....yaani hapa kama unamsukuma mlevi tuu🤣🤣🤣🤣🤣