Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Kale ka getto chetu kanazidi kujaaView attachment 2267695
Mzeya umetisha...yaani kasofa ka machinjio kapo karibu na uwanja wa sita kwa sita🤣🤣🤣🤣

Nimeioenda hii mbuni. Yule aliyekuwa anauliza unamtoaje demu toka kwenye kochi hadi kitandani achukue hii mbinu....yaani hapa kama unamsukuma mlevi tuu🤣🤣🤣🤣🤣
 
Napenda kitanda kiwe na mito mingii[emoji7]
IMG_20220624_144302.jpg
 
Mzab[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio maana yake sio tako skonsi linakumbatiwa na mto🤣🤣🤣
Linapaswa lishikwe na mwanaume bwana ...tena kana u ataka mbooo unajidai kama unageuka huku unamsogezea mzigo ashindwe mwenyewe tuu kula mambo matamu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee km mie, ipo mito 4, yaan na miguu nawekaga kwa mito, baba tamuu akijaga anaifurumua, ananiuzigi anasema inamzuia hajitawali.

Woyoooooooooh.
Tunafanana hivyo najiachiaga na mito yangu

Kuna clip ya mdau nilisikiliza jana aisee nikakukumbuka ujue[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wee uko wapi? Haujaja huku kwa joto? [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Niienda mbeya,nikarudi nikaelekea tunduru

Nililalaga songea[emoji23]

Yaani niliambiwa boda kutoka stend ya zamani hadi luhuwiko ni sh,15000[emoji23]
 
Back
Top Bottom