Diwani
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,680
- 2,779
Woyooooooooo, gettho getthoGOD is Good, mwaka wa kwanza ndo umekata ivoo[emoji120]
Maombi yenu wadau nisije rudisha mpira kwa kipa[emoji110]
View attachment 2326242
View attachment 2326243
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Woyooooooooo, gettho getthoGOD is Good, mwaka wa kwanza ndo umekata ivoo[emoji120]
Maombi yenu wadau nisije rudisha mpira kwa kipa[emoji110]
View attachment 2326242
View attachment 2326243
Jumla ngapView attachment 2325500kuna mtu akionA aPa atanikosoa 😁😄 kinomA
Kama huna kazi mbali na kwenu hupaswi ondokaWale wadau wa mwezi wa nane,,,mshaanza life la gheto,
Kuna mmoja kapata kitanda na godoro kahama kwao[emoji16],sasa maisha yanamkoroga hana kazi wala biashara[emoji16]
Bado sijashawishika kuhama home[emoji6]
Ktanda 250 na godoro ni 270 inch 10Jumla ngap
Big up up.Uzi ulionitoa kwnye kiza Hadi Sasa nauona mwanga japo haikuwa rahisi kuwashawishi wazazi kuondoka nyumbani na kupanga chumba ilihali umeacha chumba ama vyumba nyumbani , ikibidi nikimbie kinyemera baada ya mambo kuwa magumu na dharau kuwa nyingi kwa wadogo zangu pindi wakirudi likizo kutwa unagombana nao na ukijitzama n mtu mzima hapo ndipo nilipoamua kusepa nakumbuka mfkon nilikuwa na tsh 40,000 nikampga saundi Dem wangu ambaye Sasa n wife aknipa 80,000 nikakodi chumba elf tisini na mkeka wa 7000 pazia nilichomoa nyumban na life likaanzia hapo.
Acha nicheke nichekeWale wadau wa mwezi wa nane,,,mshaanza life la gheto,
Kuna mmoja kapata kitanda na godoro kahama kwao[emoji16],sasa maisha yanamkoroga hana kazi wala biashara[emoji16]
Bado sijashawishika kuhama home[emoji6]
Geto lako Hilo .Daaaah huu hizi ni ghetto university.......
My headquarterView attachment 2326951
Big up sana mkuu,hakika madogo saizi wana kuheshimuUzi ulionitoa kwnye kiza Hadi Sasa nauona mwanga japo haikuwa rahisi kuwashawishi wazazi kuondoka nyumbani na kupanga chumba ilihali umeacha chumba ama vyumba nyumbani , ikibidi nikimbie kinyemera baada ya mambo kuwa magumu na dharau kuwa nyingi kwa wadogo zangu pindi wakirudi likizo kutwa unagombana nao na ukijitzama n mtu mzima hapo ndipo nilipoamua kusepa nakumbuka mfkon nilikuwa na tsh 40,000 nikampga saundi Dem wangu ambaye Sasa n wife aknipa 80,000 nikakodi chumba elf tisini na mkeka wa 7000 pazia nilichomoa nyumban na life likaanzia hapo.
Umetisha sana mkuu,usiache kwenda kumsabahi bi mkubwa [emoji2]Kipindi ndo officially naenda kuanza maisha yangu mwenyewe mimi nilibahatika wazee walini-bless kitanda 5×6 na godoro inch 6 mwaume siku hiyo nasombelea vitu kama masihara mzee alikuwa....
Ananihamasisha kweli nihame ila kutokana na mimi nilishachoka kukaa nyumbani sikutaka kuonesha kuwa nataka kuhama home ila kimoyo moyo najisemea... unafikiri napenda kukaa kwako...
Ndo nandoka ivo.Siku hiyo nikabebelea kitanda godoro na begi langu tu la nguo Asikwambie mtu upweke ulitawala kinyama siku iyo humo magetoni maana nilihamia usiku huohuo sikutaka kulaza damu nikapiga moyo konde .....
Na mimi siku moja ntajaza vitu bas nilikuwa kila nikiludi nikikiangalia chumba changu napata mzuka na hamasa ya kutafuta pesa nijaze vitu ndani geto lipendeze.
Baada ya mwezi mshahara wangu wa kwanza nikanunua dundo ndani yani subwoofer vikombe,sahani,vijiko, na vikolokolo vingine vya kupikia....
Kati kati ya mwezi huo huo nikanunua mapazia nikaongeza mashuka sijui kapeti ado ado geto likaanza kuwaka.kuna pesa nikaja kuibahatisha nikanunua kasofa ka-watu wawili ka leza mwezi tena nikanunua zuria.
Pesa nyingine nikavuta ka-fridge flan ivi kadogo dogo ka kishkaji hapo maisha yakaenda hadi saivi ni legendary nilihama home kwa kupenda mwenyewe na jitihada za mzee kunihamasisha lakini bi-mkubwa hakupenda nihame kabisa..
Hadi nahama mpaka nafikisha mwaka katika kujitegemea hakuacha kunipigia simu na kunisistiza nisiache kwenda nyumbani alihofia labda sitokanyaga tena kwake[emoji16] nikikaa siku 2 bila kumpigia lazima apige yeye aniulize kulikoni mbona hata simu hupigi mdingi naye mwnzo yeye ndo alionyesha kufurahishwa kujitegemea kwangu lakini baadae alikiri kuwa anatamani nirudi tena home[emoji16][emoji16] hapo nishafikisha almost mwaka 1 najitegemea...
Niliondoka nyumbani nakujitegemea nikiwa na miaka 20 tu.
Huwa naendaga mkuuUmetisha sana mkuu,usiache kwenda kumsabahi bi mkubwa [emoji2]
Njo tuishi woteMimi nina 23 years now, nimeanza kuishi geto nikiwa na miaka 19, baada ya kupote ada ya chuo million 2 na nusu ila saiv maisha yanaenda vzr tu namshukuru Mungu kwa kupoteza hela nilikimbia kipigo cha mzeee baba
Mimi hali ikiwa ngumu huwa natafuta chumba cha bei rahisi niliwahi kaa room kodi 20elfu miezi 8 mishe zikarudi kwenye mstari now nalipa 60 choo ndani........Hali hata ikiwa ngumu kiasi gani siwez kurudisha mpira kwa kipa??
Huo mlo ni WA usiku au mchana?
Usiku manHuo mlo ni WA usiku au mchana?