Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Hii ni kweli mkuu. Kitanda changu kinaliwa na wadudu na hata sielewi wametoka wapi na wameingiaje. Nikipata hela nabadilisha kwakweli. View attachment 2471899
Hili geto kama vle hii nyumba ilkuwa ya familia wakkamua kupangisha. Hii haikuwa room. Nawaza tu ila hpo hkuna choo ndani na vyumba vngne vna vyoo.
Sema limepata mpangaji[emoji109]
 
Amini kalipangilia vizuri kinoma tena kama upana ni mkubwa akigeuza bed(kama litatosha lakin) likae kiupana pembeni anatia sofa apo inakuwa unyama unyama tena
Yeah kabisa ila pia anaweza akatenganisha pande mbili akapata sebule na chumba kwa kutumia hata simple sliding doors kama hiyo kwenye picha
images%20(11).jpg
 
Hivi wenzangu mnalalia vitanda? [emoji1][emoji1] Mi nashindwa kwa kweli, mwaka wa pili sasa natimiza tangu nichomoke home, sijawahi kiwaza, wala kununua kitanda, nimeweka pallets, na zipo stable mpaka leo, by the way, sipendi vitanda vya juu

Picha tafadhali
 
Hili geto kama vle hii nyumba ilkuwa ya familia wakkamua kupangisha. Hii haikuwa room. Nawaza tu ila hpo hkuna choo ndani na vyumba vngne vna vyoo.
Sema limepata mpangaji[emoji109]

Mkuu choo kipo ndani humo humo upande wa kulia baada ya kitanda.
 
Sio muda mwafaka mkuu, Kwanza jua unataka nini na kwa wakati gani, me pia nilianza kazi na mshahara kama wako

Na kipindi hicho nilikuwa natoka mbali sana ili kwenda kazini, kama ni mwenyeji wa Dar, Me nilikuwa naishi sehemu moja panaitwa Kisewe, kupita mbagala na unaingia Chamanzi, unatokea Mbande

ilikuwa inanilazimu kuamka sa 10:30 usiku kujiandaa na hadi sa 11:15 napanda daladala kwenda kariakoo, nilikuwa nafika mjini sa 12:30-12:45 na kuondoka sa 12:45 jioni na home kufika sa 4 usiku

Pamoja na kupata kazi ila sikuona kama ni muda sahihi wa kuondoka home, ilibidi nianze kwenda kuwekeza hela kwa muuza godoro, nilianza kuwekeza 70k ili ninunue godoro Dodoma QFL inch 10 ambalo Kwa kipindi hicho lilikuwa likiuzwa 220k

Kutokana na nauli kuwa ndani ya hiyo hiyo pesa ndomana nikaw naweka 70k na kiasi kingine nilikuwa nahemea vyakula pale home, baada ya miezi 3 nikawa nimemaliza kulipia godoro na mshahara wa mwezi wa 4 ndo nikaenda kutafuta chumba Kigogo

Nilianza na chumba cha 30k nikalipia miez 3 na kununua baadhi ya mahitaji, ndipo nikahama home na kwenda kujitegemea rasmi, kwahiyo kama home hakuna ugai gai we kaza tu ata miez 3 ili ujiandae kisha usepe

Baada ya hapo ndo nikaanza kuweka tena hela ya kununua kitanda na baadhi ya vitu mdogo mdogo huku nikiendelea kulalia maandazi na marage ya kuomba hati punguzo ili nipate Kwa nusu bei

At least saizi Mambo sio mabaya sana maana naishi kwenye kanyumba kenye unafuu wa muonekano na ata ndani sio haba sana, mtu akija home hawezi kujua kama nilikuwa sina ata 200 ya kulipia huduma ya Choo pale kariakoo

Ukisema uondoke na hiyo 150k utaambulia chumba tu na kagodoro Ka hovyo alafu itakulazimu kuja kununua tena godoro lingine zuri kwahiyo utakuwa umeongeza gharama ambazo sio za ulazima na usiombe hicho kibarua kikaota nyasi mwezi wa 2 tu alafu uwe umesepa home mapema

Kama hapo ulipo sasa kero zilizopo au shida zilizopo zinavumilika basi we jipe Malengo na uishi malengo yako ili baada ya Muda uliojiwekea uwe umetimiza na kuendelea na mambo mengine ambayo View attachment 2469212
Hyo tv ni aina gan?
 
Back
Top Bottom