Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Ah Twin tub zinaharibu nguo
Kwa kaka angu ipo
Wameacha kuitumia yan

Sijui nzuri ni ipi?
Labda zile za front nn sijui
Kama ya kina Chaliifrancisco
Nchi zilizoendelea zote hutumia mashine kufua nguo

Tatizo letu ni twaweka nguo mchanganyiko

Sabuni twatumia zenye kemikali sana

Pia twaanika juani

Front load/ Upper Load/ Manual, Semi Auto, Auto zote ziko sawa tatizo ni sisi na sabuni zetu
 
Nchi zilizoendelea zote hutumia mashine kufua nguo

Tatizo letu ni twaweka nguo mchanganyiko

Sabuni twatumia zenye kemikali sana

Pia twaanika juani

Front load/ Upper Load/ Manual, Semi Auto, Auto zote ziko sawa tatizo ni sisi na sabuni zetu
Najua kuna sabuni zake
Na inasemekana ziko expensive
Ya kwa bro.. ukiweka nguo yenye vifungo au maurembo urembo,, utakuta yametoka


Front load me ndio nazielewa
 
Kupanga vtu kwa mpangilio nipo vzuri ila kufua shuka sasa ndio tatzo
Unafeli kijana me mwenyewe kufua changamoto kwa sabab sina mandoo/mabeseni mengi so nachofanya kuna manzi yupoyupo tu kitaa nampoza buku5 nampa majeans,mashuka/blanket na tshirt me napambana na boxer tu jion anafulia apaapa anaanika biashara inaisha.
 
Najua kuna sabuni zake
Na inasemekana ziko expensive
Ya kwa bro.. ukiweka nguo yenye vifungo au maurembo urembo,, utakuta yametoka


Front load me ndio nazielewa
Toka 2005 Mwanza hadi leo hazijawahi haribika.

NB: saa zingine nguo hutoka hazijafuliwa vizuri sana sana kama utachanganya jeans na nguo zingine
 
Toka 2005 Mwanza hadi leo hazijawahi haribika.

NB: saa zingine nguo hutoka hazijafuliwa vizuri sana sana kama utachanganya jeans na nguo zingine
Sasa mf
Kwa week 2 umechafua t shirt 10 za rangi..
Kijivu, white, blue, black nk
Unafuaje?
 
Mm sina nguo nyingi chief...kesho ntajitahidi nifue mapema saa 11
Unafeli kijana me mwenyewe kufua changamoto kwa sabab sina mandoo/mabeseni mengi so nachofanya kuna manzi yupoyupo tu kitaa nampoza buku5 nampa majeans,mashuka/blanket na tshirt me napambana na boxer tu jion anafulia apaapa anaanika biashara inaisha.
 
Wakuu naombeni ushauri katika maisha Yangu.

Kwanza Hongereni sana na mapambano, ila katika maisha ya Ghetto jitahidi sana kuweka uvumilivu katika Muda.

Tukumbuke sisi ni Wapambanaji, hatutegemei msaada kutoka kwa mjomba au shangazi. Usitake mambo mengi kwa wakati mfupi...(power of delayed Gratification)

Kwa upande wangu Iko hivi.
Nina ishi na msichana ambae tupo kwenye uhusiano almost miezi 10 Sasa.

Kiukweli uyu manzi ananikubali sana, na Mimi pia namkubali kinyama. Hii ni kwasababu amenisaidia mambo mengi sana. Katika kutimiza ndoto zangu..(amenisaidia sana)

Sasa kwakuwa nakaaa nae bila ndoa, Kuna changamoto ya mwezi mtukufu wa ramadhani. Mana kijamii na kidini sio sahihi kukaa kiunyumba bila ndoa..

Sasa huyu dada akasema yeye atahama ila mwezi ukiisha itabidi nihamie hapo alipopata chumba mana mama mwenye nyumba hawaelewani(udhaifu wa wanawake))

Sasa Mimi naomba ushauri
Nikae nae au tukae tofauti ila tutakuja kufunga ndoa au tuanze kupambana kuanzia chini mpaka juu??

Je hustle za kupambana uku unaishi na msichana ambae utakuja kumuoa inaakaaje??

Naombeni ushauri wa kina mana nikimwambia tukae tofauti lazima aanze kulia..

Naomba ushauri!
Ninapokaa Kodi inaisha mwezi wa tano(40000) tutakapo Amia ambapo amelipa yeye Kodi ni (70000) amelipa miezi 4.


Naomba msaada

Mkuu ushasema anakusaidia sana basi shikilia hapo

Kunasehemu nimesema na nasema hapa tena
Wanawake ni good financial
Wanajua kutunza na kutembea na budget

Me nowadays natumia hadi 7000 per day
Wakati ningekua na mwanamke nyumbn sidhani kama zingefika hizo

Ni vile hawa viumbe hua hatuwapati wale wanoenda na malengo yetu
Ila ukimpata mbona utakamilisha ndoto mapema tu
Nakumbuka [mention]Analyse [/mention] aliwa comment kitu juu huko kuhusu hili
 
Mkuu ushasema anakusaidia sana basi shikilia hapo

Kunasehemu nimesema na nasema hapa tena
Wanawake ni good financial
Wanajua kutunza na kutembea na budget

Me nowadays natumia hadi 7000 per day
Wakati ningekua na mwanamke nyumbn sidhani kama zingefika hizo

Ni vile hawa viumbe hua hatuwapati wale wanoenda na malengo yetu
Ila ukimpata mbona utakamilisha ndoto mapema tu
Nakumbuka [mention]Analyse [/mention] aliwa comment kitu juu huko kuhusu hili
Analyse
 
Back
Top Bottom