Early 80s kaka Yangu alikuwa Yanga, na mimi nikaipenda Yanga akakataa nisiishabikie Yanga, basi nimeishabikia PAN African km miaka 3 lkn Yanga damu damu. Baadae nilipojitambua nikirudi Dar Young Africans wakati wa akina Abeid Mziba, Allan Shomari, isihaka Hassan chukwu, Charles Boniface mkwasa. ULAYA kwa nchi Italy. Mwaka 1984 nilipata komunio ya kwanza pale Matogoro songea. Kwa wakristu hasa Catholics wataelewa. Jioni my bro akanipeleka TTC matogoro kwenye ujumbe wao kuna picha walikuwa wanaonyesha moja wapo ilikuwa ni 1982 final kati ya Italy na Germany. Italy waliichapa German. Naikumbuka jina Dino zoff lilikuwa likitajwa sana na Karl Heinz rummanige toka hapo nikawa mpenzi sana wa Italy. Klabu Ulaya kibibi kizee cha Torino JUVE! hapa hunitoi . ZIdane katikati, lilian Thulam, Gianluca Vialli, fabrizio Ravanelli, Atilio Lombardo. Huyu bibi kizee alikuwa noma. Baadaye Chelsea sababu Vialli na Juve walipotwaa UEFA 1995-6 alikwenda Chelsea. Halafu italy influence chelsea ikawa kubwa akina zolla, di mateo. Madrid Ajax so thats all