Ulianzaje kusoma vitabu?

nilianza kusoma vitabu baada ya kuhamishiwa english medium kutoka shule za serikali. kule nkakuta jamaa wanaongea ngeli hatari, shule ilikuwa na kila kitu. jamaa nkawa nagoma kwenda shule kwasababu sijui ngeli, mzee akaniuliza kama shule ina maktaba, nkamwambia ndio, akasema nianze kwenda/kuingia huko na kuangalia hata picha tu kwenye vitabu, nkaanza kufuata ushauri wake. baada ya muda, nikawa kila nafasi nliyopata naitumia kwenda library, nkajenga urafiki mzuri sana na librarian pia, maana sio wengi waliokuwa wanaenda library. kutoka hapo nkawa nimejenga mapenzi ya dhati na vitabu, na vitabu vya mwanzoni kabsa ni READER'S DIGEST ambavyo vilikuwa vinahusu dinasours
 
Nilivoona jina la kitabu tuu POWER OF PUSSY fastaa nikatamani kujua yaliyomo ndo nikawa msomaji mzur now nasoma THINK LIKE A MAN ACT LIKE A LADY.
 
Men are from mars, ni kizuri mno kwa mtu interested na issue za mahusiano, pia THE POWER OF PUSSY wnawake kisomen hiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…