MZEE MSASAMBEGU
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,780
- 2,555
Sio kwamba haiwahitaji ila serikali haina pesa ya kutoshahahahahahaha sasa mimi niliomba PLM'nifanyeje kwani sisi jamii haituitaji???? Usinitoe meno lakini
Sio kwamba haiwahitaji ila serikali haina pesa ya kutosha
Wadogo mnabore,we kama unajua mtoto wa familia ya kimasikini kwanini ujaze course zisizo na mkopo.eti mtoto wa mama ntilie unajza chuo ka ifm wakati coz karibia zote za pale ni non priority.kwa mliojaza coz za priority mkakosa nawaonea huruma sana wadogo zangu but mkifika chuo mtapewa utaratibu namna ya kufuatilia mtapata tu mkopo tena kwa wale wa sua by experience msihofu kabisa mtapata tu.ila kwa nyinyi wa non priority mnaolalamika haki ya mungu nikikusikia nakutoa meno nikaozee segerea na hilo litakuwa fundisho kwa wengine miaka ijayo
maku we!ppo ni poor na zimesoma govt na kuchaguliwa priority course na bado wamekosa mkopo.
Hahah mzee msasambegu una hasira sana
Maneno yapi ya kumtia moyo mtu aliyejaza coz non prioritympk mnakera... hakuna ata maneno ya kutiana moyo wakuu...wadogo au watoto wenu watapitia hiyihiyo njia....kweli upendo umepungua duniani...aya mwenye mada endelea kuwapa yao.. ubarikiwe
Maneno yapi ya kumtia moyo mtu aliyejaza coz non priority
ha aha haha haa
Unachekaa aisee Watu Wanahasira watakukata Maskio..