MZEE MSASAMBEGU
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,780
- 2,555
We kama unajua mtoto wa familia ya kimasikini kwanini ujaze course zisizo na mkopo
.eti mtoto wa mama ntilie unajza chuo ka ifm wakati coz karibia zote za pale ni non priority.
kwa mliojaza coz za priority mkakosa nawaonea huruma sana wadogo zangu but mkifika chuo mtapewa utaratibu namna ya kufuatilia mtapata tu mkopo tena kwa wale wa sua by experience msihofu kabisa mtapata tu.
.eti mtoto wa mama ntilie unajza chuo ka ifm wakati coz karibia zote za pale ni non priority.
kwa mliojaza coz za priority mkakosa nawaonea huruma sana wadogo zangu but mkifika chuo mtapewa utaratibu namna ya kufuatilia mtapata tu mkopo tena kwa wale wa sua by experience msihofu kabisa mtapata tu.