Mia saba
JF-Expert Member
- Mar 4, 2022
- 255
- 390
Hiko hivi,
Nimepata masimulizi kutoka kwa jamaa yangu sana yanayomsibu.
1. Ni mtu wa moyo Safi, Ila atawale aliowasaidia wanamuona nonsense kwa sasa
2. Anasema wakati fulani anasaidia kutoa taarifa kwa marafiki chimbo wanapopata mzigo kea Bei rahisi Ila jamaa zake wakipata sehemu nafuu zaidi wanakaa kimya
3. Kwenye mazungumzo akianza kuchangia mada watu wanahairisha story na kuendelea na shughuli zako
4. Anapambana more lonely sana bila campany vikampelekea:
1. Mawazo Sana
2. Pombe Sana
3. Nyuchi kidogo
Madhara aliyopata
1. Baadhi ya biashara kaanza kufunga
2. Mauzo kichache mno
Ushauri wangu
1. Asiache kusali
2. Kila Jambo linakuja na maana yake hivyo pamba Usikate tamaa
Je hii hali ni kawaida kweli?
Nimepata masimulizi kutoka kwa jamaa yangu sana yanayomsibu.
1. Ni mtu wa moyo Safi, Ila atawale aliowasaidia wanamuona nonsense kwa sasa
2. Anasema wakati fulani anasaidia kutoa taarifa kwa marafiki chimbo wanapopata mzigo kea Bei rahisi Ila jamaa zake wakipata sehemu nafuu zaidi wanakaa kimya
3. Kwenye mazungumzo akianza kuchangia mada watu wanahairisha story na kuendelea na shughuli zako
4. Anapambana more lonely sana bila campany vikampelekea:
1. Mawazo Sana
2. Pombe Sana
3. Nyuchi kidogo
Madhara aliyopata
1. Baadhi ya biashara kaanza kufunga
2. Mauzo kichache mno
Ushauri wangu
1. Asiache kusali
2. Kila Jambo linakuja na maana yake hivyo pamba Usikate tamaa
Je hii hali ni kawaida kweli?