Huyo mwanamke wako ndo hakujua kukutumia na kujua nini afanyeHakika Wacha nipigwe tu kama punching bag maana hakuna namna
Wape SoMo nyoyo ake oya @ to yeye kungwi uyu apa kutoka Cuba sio pwani TenaπππHuyo mwanamke wako ndo hakujua kukutumia na kujua nini afanye
Ila ukikutana na wacuba kama sisi wewe kazi yako itakuwa kutafuta hela na kupata uletelezi ww hadhi ya 5stars ...usafi wako wa mwili na kupetiwa petiwa ili usahau shida zako na usahau kwamba umefunguka laki laki ni mcuba nafanya.
Lol polee mkuu jisimamie kama mwanaume ni lazima uhoji inapobidi sio kutoatoa tu!
Hahahahahaha!!πUnampandisha cheo au sio
Hahahah wala sina ukungwi wowote basii tu ni tuvitu tuvitu tudogo lakini vinanogesha penziiWape SoMo nyoyo ake oya @ to yeye kungwi uyu apa kutoka Cuba sio pwani Tenaπππ
Astaghifilullah![emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Amesahau kuwa wewe ni hitter&runnerπππ. makaveli10 asante kwa upendo ila kwa huyu bro labda kwa usiku mmoja tuππTo yeye umemwagiwa sifa tele na mwamba
Yote Ni sahii,[emoji23]Unampandisha cheo au sio unamuweka bi mkubwa
Kaka..Nimecheka hapa ofcn hadi wenzangu wamenishangaa....mbavu zangu, kwanini nacheka? mm yalinikuta makubwa..enzi za ujana 2000s, nilipata kidemu flani kizuri sana kinaitwa Sofia, hali yangu kiuchumi kweli nilikuwa hoi bin taabani, mtoto tukapendana sana tu, kweli nikasahau shida zangu angalau kwa muda, kula yangu kama kumchinja Kobe "timing" kwahiyo kunasiku anapiga tafu, kumbe bwana upande wapili kuna jamaa anamnyandua Sofia, huku nakule si nikagundua, hasira ya wivu nikalianzisha, tulikuwa tuna kaa Geto tuko mtu 4 room 1, nikatembeza bakora, binti kanipiga biti la hatari kadai hataki tena urafiki, nikaitisha kikao na washkaji haraka sana, eti nadai nilichokiita gharama zangu.. huyo mgoni wangu jina Luka.. alikuwa kibaka kwahiyo yeye pesa si tatizo kubwa, kikao kikanguruma Sofia akaulizwa unamtaka nani kati yahawa wawili... akadai anampenda LUKA.. wakuu kwanza nilipoteza uwezo wa kuona, kusikia, kujitambua nilishindwa kujibu chochote kaayangu kimya ikachukuliwa nimekubali hoja, ... nikatakiwa niwasilishe madai.. nikadai 50,000/- LUKA kavuta 100,000/- aiseee.... hili tukio lilinitesa muda mrefu, kumbe hata gharama zote za kikaoi kiwemo chakula na posho za wajumbe alilipa LUKA. kumbe hata zile fedha alizokuwa ananihonga Sofia alikuwa anapewa na LUKA. (LUKA the Great)Astaghifilullah!π€π€π€π€
Nilikuwa nakuingiza chaka la simba πAmesahau kuwa wewe ni hitter&runnerπππ. makaveli10 asante kwa upendo ila kwa huyu bro labda kwa usiku mmoja tuππ
Kaniambia wewe ni mzee wa kugonga na kutembea πmakaveli10 ngoja nilifanyie kazi
Nitaumia broNilikuwa nakuingiza chaka la simba π
Nisamehe bure toyeye wangu.. Nakupenda ndugu yangu siko tayari uumie.Nitaumia bro