Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juke na zuma deluxe ni ====Ka Nissan juke 😂😂 kanakofanana na chura
😂😂😂😂🙅I am speechlessUsione tupo kimya
Ndio hivyoZuma yule si chura Sasa mkuu😂😂😂
Eti jamani.Huyo hakupendi Santons na muache aende tu utapata chaguo lako lililo sahihi
Kupata mwanaume ambaye humuombi pesa anayejua wajibu wake kama wewe unampa tu sababu unajua ana mahitaji yake ni wachache sana
Upo na mtu ambaye hajitambuiDah yaani hapa natoka kuachika Kwa sababu ambazo naziona sio za msingi kabisa, nimempa 100k akafanye ishu zake nyingine bila hata kuniomba.
Hata Asante hakusema, juzi ananiomba Tena shilling laki Moja ambayo Haina maelezo yoyote [emoji848]
She was like... Umm babe naomba shilingi laki Moja[emoji33][emoji33] meseji ikaishia hapo.
NAMI sikujibu chochote nione reaction Yake mpaka zilipoanza lawama kwamba nimekua bahili siku hizi[emoji51][emoji51]
Nikawambia yes mimi ni bahili so what, akadai tuachane.
NAMI nikaona poa tu maana Amna mambo apa zaidi ya kuchunwa tu[emoji51] sijataka kuhoji kuhusu ile pesa nilomtumia bila kuomba.
Nipo nipo tu kichwa kime hang[emoji56][emoji56][emoji56]
Kumbe kuachwa ndo inakua hivi[emoji33][emoji33]
Ila naona kama nimetua ka mzigo Fulani hivi, kuachana na hii Toyota brevis [emoji23] ila Kuna mda naanza kumuwazia Tena
Ebu nipeni mbinu nifanyeje ku overcome ishu kama hii
mzabzab
Mzee wa kupambania
Eti To yeye mtu anaekutumia pesa bila kuomba ni bahili[emoji848]
Shunie Antonnia Depal Chakorii ebu kuweni na huruma na pesa zetu wandugu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nitakuja kueleza vizuri maana nililazwa muhimbili sikujua kama nitaachwa
Kula chuma hichoNinazo za munishi namskiza pastor munishi malebo
[emoji23][emoji23]wewe kibokoMimi nilipo achwa na mwanamke nilienda kudai vitu vyangu nikaenda kuchukua shuka nililo nunua
[emoji16]Mimi nilipo achwa na mwanamke nilienda kudai vitu vyangu nikaenda kuchukua shuka nililo nunua
[emoji23][emoji23][emoji23]ulivyomalizia sasaSikuzote nasema bahati muda Mwingine uwapata wasio na haja nayo.Daaa,ni ningekutunza zaidi ya mtoto...hiyo pesa ya kupewa pasipo kuomba si angeuliza hata size ya kiatu uvaacho akusuprise laaziz.Ila ukome,mnajeuri sana wanaume[emoji34]
Yaani Mimi nikipewa hela hivyo aisee huwa nafurahi, napiga magoti naomba mno.Mnatuombea na baraka
[emoji23][emoji23]wewe kiboko
[emoji16]