Mkuu hongera kwa kuwa na mawazo chanya.
Ili ufikie lengo ni lazima upambane haswa na assume kama huna pesa kabisa pindi utakapopatwa na shida.
Na ikawe hivyoUkishika 10 ujue 50 ipo njiani, mia pia utashika ukikaza mpaka b utafika
kubeti ndio mpango mzimaHabari jf
Katka kupambana na maisha kuna malengo tunajiwekea Shida ni changamoto ya kuyafikia. Mwanzo mwa mwaka 2016 nilijiwekea target kufikisha milion 3.
Kwangu ilikuwa hela nyingi coz nilikua nasoma na hela ambazo nilikuwa nashika ni laki laki mwisho laki 5 balance ya akiba laki moja!!... Lakini baadae nilipataga kazi kwahiyo kushika milion 3 ikawa siyo kazi but siyo akiba!! Unakuta hiyo milioni tatu ndio ufanye kila kitu akiba au saving ndio laki 3 au 5.
Najaribu kupambana nifike milioni 10 wapi!!
Kila ikifika milioni 3 au 4 napata shida natumia. Sasa nilitaka tubadilishane experience na wanajf wenzangu ambao mmeshavuka huko au mna idea.
NB: Hapa naongelea saving, hela unayoisave baada ya kufanya mambo mengine.
Je, wewe ulifikishaje milioni 10 yako ya mwanzo?
Vip ushafikisha hiyo million 10 nije kukukopa ?Habari jf
Katka kupambana na maisha kuna malengo tunajiwekea Shida ni changamoto ya kuyafikia. Mwanzo mwa mwaka 2016 nilijiwekea target kufikisha milion 3.
Kwangu ilikuwa hela nyingi coz nilikua nasoma na hela ambazo nilikuwa nashika ni laki laki mwisho laki 5 balance ya akiba laki moja!!... Lakini baadae nilipataga kazi kwahiyo kushika milion 3 ikawa siyo kazi but siyo akiba!! Unakuta hiyo milioni tatu ndio ufanye kila kitu akiba au saving ndio laki 3 au 5.
Najaribu kupambana nifike milioni 10 wapi!!
Kila ikifika milioni 3 au 4 napata shida natumia. Sasa nilitaka tubadilishane experience na wanajf wenzangu ambao mmeshavuka huko au mna idea.
NB: Hapa naongelea saving, hela unayoisave baada ya kufanya mambo mengine.
Je, wewe ulifikishaje milioni 10 yako ya mwanzo?
Mimi nimeweka hela KWA cm since 2022 na mpaka Sasa imetimia million 3 na bado IPO kwa m pesaKwanini usiweke bank?
Loh bora ungekuwa unaweka akiba yako UTT ungeona inaongezeka kuliko kuweka bank au mpesa miaka 2Mimi nimeweka hela KWA cm since 2022 na mpaka Sasa imetimia million 3 na bado IPO kwa m pesa
nimechekaa sanaaUnakuta mtu ana Million3 lakini bado anapiga nyeto, kisa anasevu huo ni ujinga.
Naomba nielekeze kuhusu hiyo uttLoh bora ungekuwa unaweka akiba yako UTT ungeona inaongezeka kuliko kuweka bank au mpesa miaka 2
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwambaa akanunulie utamuuUnakuta mtu ana Million3 lakini bado anapiga nyeto, kisa anasevu huo ni ujinga.
Kwenye hiyo m3 chomoa 50 kakamue mrembo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwambaa akanunulie utamuu
😂😂😂😂😂Unakuta mtu ana Million3 lakini bado anapiga nyeto, kisa anasevu huo ni ujinga.
Akili za kuambiwaKwenye hiyo m3 chomoa 50 kakamue mrembo
Bila screenshot huu ni uongoJana tu Yanga alikua na Odi 2 na chenchi ya kutolea,nikachoma Million 5 petpawa. Ndani ya Dk100 message ikajaa juu inawaka green 💚 million 10. Sirudii tenaa maana roho ilikua mkononii👐🤣