Ulifikishaje Milioni 10 ya kwanza?

Asilimia kubwa kwenye huu uzi wafikisha 10mil kwa ku sevu….
Kutoka kwenye mshahara…

Tunasubiri waliofikisha pesa hiyo kwa kifanya deals , biashara, Na mbinu nyingine nao wachangie…
 
kubeti ndio mpango mzima
 
Vip ushafikisha hiyo million 10 nije kukukopa ?
 
Jana tu Yanga alikua na Odi 2 na chenchi ya kutolea,nikachoma Million 5 petpawa. Ndani ya Dk100 message ikajaa juu inawaka green 💚 million 10. Sirudii tenaa maana roho ilikua mkononii👐🤣
Bila screenshot huu ni uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…