Ulifikishaje Milioni 10 ya kwanza?

Sijawahi kushika 10M cash mkononi niliishia 7M tena ni mwaka 2016 ila mpaka sasa aseets na Liabilities zangu na Uwekezaji wangu katika kilimo nadhan inaweza kuwa 20M sasa sijui nipo upande gani juu ya hii mada kama niko wrong mnikosoe
 
Uzi mzuri sana, Kiukweli nimekuwa napoteza fedha zangu nyingi kwenye investment mbuzi zisizo na kichwa wala miguu.

Ila kipindi mwaka unaanza Rafiki yangu mmoja alinipa siri ya “Saving” ambapo na mimi nimeanza.

Malengo 2024 ni kumaliza na saving ya 20M.

Saving nimeanza February mpaka sasa nimefikisha 7.1 M. Kiukweli nimejiwekea nidhamu ya hali ya juu sana. Malengo ni kuhit angalau 10 M mwezi wa 6 kabla ya kuingia ngwe ya pili inayoanza July hadi december.

Katika saving soma kitabu cha the Pyschology of money na the school of money.. hutojutia kabisa kupata elimu adhimu ya saving.
 
Sijawahi kushika 10M cash mkononi niliishia 7M tena ni mwaka 2016 ila mpaka sasa aseets na Liabilities zangu na Uwekezaji wangu katika kilimo nadhan inaweza kuwa 20M sasa sijui nipo upande gani juu ya hii mada kama niko wrong mnikosoe

Mkuu hoja hapa ni cash na sio assets,
 
Hongera mkuu! Wazo lako nimelipenda
 
Hongera mkuu kwa kupambana bila kukata tamaa
 
big up mkuu, nayo ni njia nzuri.
 
Hii michezo sijawahi kuiamini hata siku moja
 
Tumeishika hio kitambo mbna ,soon baada ya chuo nilijivua usomi wote na kuwa mtu normal tu ila sio rahisi kihivo ni msoto ila tumeihesabu
Swali ni ""Ulifikishaje Milioni 10 ya kwanza?""

#YNWA
 
Hiyo saving inatoka kwenye mshahara au biashara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…