baba bora
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,500
- 1,093
Wazazi wangu walikuwa wakinikataza kushirikiana, kucheza na baadhi ya watoto wenzangu
Sikuwa msikilizaji nzuri wakati huo. Nilijiambia hawa Ndio marafiki zangu
Nikiwa darasa la Saba rafiki yangu kipenzi alidokoa dukani kwao kiasi cha 30000 Alitumia pekee yake. Mzee wake alipogundua alimcharaza viboko hatari
Rafiki yangu kipenzi akanitaja kuwa Mimi Ndio nilimsonga kuiba
Msala ukahamia kwangu nilikula kichapo kwa mzee hadi kushusha haja ndogo toka hapo Urafiki ulikufa
2009 Nikiwa secondary rafiki tulieambatana Kama ndugu muda Wa darasani, kula, michezo na bwenini tulikuwa wote tulikuwa hatupo wote muda mchache Sana hasa Usiku
Jamaa yangu alikuwa mlevi ana vuta bangi pia yani baada ya prepo kuisha anaruka fensi anazama machimbo yake kitaa
Siku ya jumapili ya mwisho Wa mwezi Wa nne aliniazima begi langu la daftari aende nalo chimbo
Akasahau kutoa Kete 2 Za bangi na viroba kwenye begi jumatatu kunadada aliibiwa wakaja walimu kusachi nilikutwa na bangi na viroba nilifukuzwa shule Siku hiyo hiyo
Asubuhi nikapakizwa gari kurudi nyumbani mzee akanitimua naye hakutaka kusikia chochote toka kwangu
Niliishi kwa baba mdogo mzee alikataa Kabisa kunirudisha shule alikuwa anasema siwezi somesha mvuta bangi Mimi niliumia Sana
Mwezi Wa kumi 2009 mzee aliniita nyumbani nilifurahi Sana nikajua nimesamehewa narudi shule.
Haikuwa hivyo nilitafutiwa gereji ya magari niliumia Sana Urafiki Mbaya ulinigharimu Sana
Wewe ushaponzwa na Urafiki ? Ilikuwaje?
Sikuwa msikilizaji nzuri wakati huo. Nilijiambia hawa Ndio marafiki zangu
Nikiwa darasa la Saba rafiki yangu kipenzi alidokoa dukani kwao kiasi cha 30000 Alitumia pekee yake. Mzee wake alipogundua alimcharaza viboko hatari
Rafiki yangu kipenzi akanitaja kuwa Mimi Ndio nilimsonga kuiba
Msala ukahamia kwangu nilikula kichapo kwa mzee hadi kushusha haja ndogo toka hapo Urafiki ulikufa
2009 Nikiwa secondary rafiki tulieambatana Kama ndugu muda Wa darasani, kula, michezo na bwenini tulikuwa wote tulikuwa hatupo wote muda mchache Sana hasa Usiku
Jamaa yangu alikuwa mlevi ana vuta bangi pia yani baada ya prepo kuisha anaruka fensi anazama machimbo yake kitaa
Siku ya jumapili ya mwisho Wa mwezi Wa nne aliniazima begi langu la daftari aende nalo chimbo
Akasahau kutoa Kete 2 Za bangi na viroba kwenye begi jumatatu kunadada aliibiwa wakaja walimu kusachi nilikutwa na bangi na viroba nilifukuzwa shule Siku hiyo hiyo
Asubuhi nikapakizwa gari kurudi nyumbani mzee akanitimua naye hakutaka kusikia chochote toka kwangu
Niliishi kwa baba mdogo mzee alikataa Kabisa kunirudisha shule alikuwa anasema siwezi somesha mvuta bangi Mimi niliumia Sana
Mwezi Wa kumi 2009 mzee aliniita nyumbani nilifurahi Sana nikajua nimesamehewa narudi shule.
Haikuwa hivyo nilitafutiwa gereji ya magari niliumia Sana Urafiki Mbaya ulinigharimu Sana
Wewe ushaponzwa na Urafiki ? Ilikuwaje?