Ulijifunza lini kupiga mruzi ( winja)? Mi nimeshanga najua tu kupiga

Ulijifunza lini kupiga mruzi ( winja)? Mi nimeshanga najua tu kupiga

Duuuh...! Jf bwana, huwezi kuishiwa Story humu...

Watoto wa Mama wengi hawajui kupiga Minja...!

Hivi ni kwa nini..?
Na baadhi ya wazazi huchukulia huku (kupiga Mluzi) kama ni tendo la ukosefu wa Maadili (uhuni)

Anae fahamu siri juu ya kitu/tendo hili, naomba ATIRIRIKE..
Labda ni vile wahuni wanaitiaga nao mademu
 
Aiseee!!! Me mpaka leo
Cjajua yan af cha ajabu
Washkaj wang wa mtaan
Nliokua nao wote wanajua
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Nilipoanza kufukuzia hawa ma manzi, nlkua natumia mruzi/ mbinja kuwaita,,,,
 
Pale ambapo ng'ombe alikua akisara, nilkua natumia ile mbinja ya kukata na kuendeleza
 
Hii Story Ingekua Tamu Ka ma kungekuwa Na Ka Picha
 
Kipindi hicho bado KINDA, naandamana na NDUGU na JAMAA katika kumbi za SINEMA.

Nilikuwa navurugwa na kusisimuka kwa furaha, Nyota wa Movie (starring )alipokuwa anawapiga wapinzani wake, kwa vipigo mchanganyiko na mfululizo, WATAZAMAJI WANAAMKA KWA SHANGWE NA MIRUZI MFULULIZO...!!

Baada ya kuwa mtu mzima, nilikuja kugundua kuwa walikuwa ni washamba na watu wasio weza kuhimili mihemko yao.

ILA ILIKUWA SAFI SANA...
 
Jamii forum ina mambo sana
 
Back
Top Bottom