Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ni vile wahuni wanaitiaga nao mademuDuuuh...! Jf bwana, huwezi kuishiwa Story humu...
Watoto wa Mama wengi hawajui kupiga Minja...!
Hivi ni kwa nini..?
Na baadhi ya wazazi huchukulia huku (kupiga Mluzi) kama ni tendo la ukosefu wa Maadili (uhuni)
Anae fahamu siri juu ya kitu/tendo hili, naomba ATIRIRIKE..
Kwani ukiwa wa kariakoo hurusiwi kupiga mruzi?hata kariakoo mapori yalikuwepo tatizo ni kuchelewa kufika mjini.Wee si wa kariakoo kweli
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kwani ukiwa wa kariakoo hurusiwi kupiga mruzi?hata kariakoo mapori yalikuwepo tatizo ni kuchelewa kufika mjini.
Dah,hio whistle inapigwaje?Mi nkikupigia ule wa kutia vidole mdomoni ni noma..kipindi hicho naenda kuwinda na mbwa.
Ngoja niwatafute wazazi wako na marafiki zako wa enzi hizo niwaulize.Inawezekana
[emoji2] [emoji2] [emoji2] mkuu naweza ule wa kushika mdomo afu pumzi unaivuta kwa ndani!!!Mi nkikupigia ule wa kutia vidole mdomoni ni noma..kipindi hicho naenda kuwinda na mbwa.