Ulijihisi vipi ilipokutokea?

Ulijihisi vipi ilipokutokea?

Hakuna lazmisha mapnz..ukiona ww ndo unayahandle mapnz ndo yaende badala ya kushirikiana ujue mapnz hayo yapo hatua ya mwsho ya kifo
 
Simple tu ukiamua kitu lazima ukifanye japo muda mwingine majuto yanakuja alafu unapuuza

netsh wlan show prifile name=(wifi name) key=clear
 
Mbona me sijawahi kuteseka na mapenzi au sjui sijawahi kupenda. 😂 Na sijui nitapenda lini coz tyr nimeoa 😂😂😂😀
 
Back
Top Bottom