Ulijuaje kuwa moyo wako unahisia za kupenda

Ulijuaje kuwa moyo wako unahisia za kupenda

Mia saba

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2022
Posts
255
Reaction score
390
True story

Binafsi nilikuwa zaidi ya ngumu ngumu mno yaani bandidu extra nikajuaga hizo seli za kihisia juu ya mapenzi sikuanazo. Siku zikaenda zikasonga niliwaona wazuri na wazuri sana na kukiri kuwa ni wazuri Ila sikuwa na mda nao tena yaani kuhisi kua Kuna upendo wowote juu Yao bas simulizi inaendelea kusema wakati nafika chuo kikuu kwa miezi miwili ya mwanzo sikuwahi kuhisi kitu yaani kupenda na kujiuliza wale watoto tuliambiwa tutawakuta wakowapi Basi acha tu ngoja nipige shule niimalize hii safar vyema labda nitawakuta kazini😂

Laaaa haula! Nilianza kujikuta naanza kuvutiwa na kasichana kamoja hivi ka Dar 😂 baada ya kuwa tukishirikiana kimasomo nikawa najiuliza nini hicho hahaha😂 kila nikitembea nakawaza nikajua kale ni ka jini sikuamini nikamwambia uhalisia akasema sidhan kama tunaweza endana na wewe chochote kitu duuuu..!

Na mazoea akapunguza Nikaisi mapigo mazito moyoni hisia nisizo zijua zilinitawala kwa miezi kadhaa na shule nikawa nasoma ili nisi disco aseeeee miezi 6 nabembeleza Ila wapi mwisho wa siku kukonda 😂 kwa mawazo ndipo mwisho wa siku nikakubaliana na matokeo na kuachana naye baada ya kutokea mtu mwingine ila nikijitathmini yule ndo aliyekuwa na password za upendo wangu na angeinjoy kinoma basi tu haikuwa halali yangu.

Je, wewe ulijijuaje kuwa una hisia za kupenda kutoka moyoni.
 
Alikuwa ananichekesha, kila anachoongea mie hoi kwa kicheko 😂😂

Sijui aligundua hiyo weakness,akajiweka karibu kwa gia hiyo hiyo ya kunichekesha. Baada ya muda akanitongoza nikamkataa(ni kweli sikuwa namtaka kimapenzi japo uwepo wake ulikuwa burudani sana kwangu)

Akabembeleza weeee ikafika wakati wa likizo akaenda nyumbani kwao na mie kwetu, nikaanza kummiss...nilikuwa nimeshampenda

Basi tulivyomaliza likizo ndio ikawa kama ilivyotakiwa kuwa teh!
 
Tulikuw discashen ye ndo alikuwa km lekcha kwe grup ilikuwa kila akimaliza kufundsha utaskia shida umeelewa? nasema ndio km nkichelewa discashen nkikuta ndo wanamalizia utaskia ntakufundisha usijalu ataanza upya nilipopata sup watu walinidiss hadi nkajiona sifai dunian ila akaja kunishika,mkono na kunifundisha kila siku hadi md wa kusapua nikapass akanitukana na kunizabua kibao kuwa nisome sana sijaja kucheza nifikirie wazaz nilivowaacha.

Toka siku hiyo nilimuona ni km mzazi wangu yupo moyoni mwake nikawa namuheshimu balaa haipiti siku lzm nimtafte nimsalimie kwa adabu.

E bana siku aliniletea kitambaa chekundu sikuelewa nafika om nakifungua nakuta neno i ❤ u nilishtuka
wiki zima nkawa naenda kwa kuchelewa class namkwepa.
ilipofika indivijo asaiment si nikaanza kushuka alama namna ya kuanz kumtafta siwez ghafla nkasikia najua unahitaj hiki na hiki haya shika ujisomee maswali ya,kesho hayo nilimkodolea😳

Nikapass poa kbs yaani gafla nikaskia kimoyo kinaudunda kwake kinasema accept 😄😄😄, au mwache umpime.

Siku nakuta wapo O distance na binti niliwehuka sijui ilikuwaje😄😄

Toka siku hiyo ndo nipo nae adi leo 😄😄😄
 
Niliposahau kanuni zangu zote za kuwa na totoz. Straight kumbebisha badala ya kumuweka katika status ambayo haieleweki hapo kati. Kudadeki never again.
 
tulikuw discashen ye ndo alikuwa km lekcha kwe grup ilikuwa kila akimaliza kufundsha utaskia shida umeelewa? nasema ndio km nkichelewa discashen nkikuta ndo wanamalizia utaskia ntakufundisha usijalu ataanza upya nilipopata sup watu walinidiss hadi nkajiona sifai dunian ila akaja k
Zoom college??
 
Nilijikuta tu naanza kutaman kuwa nae karibu ata kama.sina cha maana cha kumwambia.
Nilijikita napenda kumuona mda wote anafuraha.
Nk
Nk
 
Back
Top Bottom