Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Hili halipo mshenga unajichosha bure 🤣Safi bro, kazidi huyo. Shikilia hapo hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili halipo mshenga unajichosha bure 🤣Safi bro, kazidi huyo. Shikilia hapo hapo
HahahaaaaaTena anajisifu anavyofanya uharibifu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu ndio ile mizee ukiipa mkono kuisalimia inakutekenya [emoji1787]
Yule konda wa daladala mwehu sana amefika kwangu kudai nauli si akanishtua "oya father nauli.." basii nikajisemea tu moyoni ni hizi shida au ndio uzee kweli maana ndio 31 now!
HatariYule konda wa daladala mwehu sana amefika kwangu kudai nauli si akanishtua "oya father nauli.." basii nikajisemea tu moyoni ni hizi shida au ndio uzee kweli maana ndio 31 now!
Hadi sasa nipo dilemma kukubaliana na hali hii. Ingawa sikamoo nazo napewa hapa na pale.!
Aachane nae papuchi utampa wewe???Fanya uachane nae bhana... Ni mwanao huyo ujue
Nilipanda basi siti niliokaa alikuwepo binti amekaa na mtoto wake kama wa miaka 4 hivi halafu kamwambia Yule mtoto mwamkie babu!!!
Wee miso misondoMmnh 🤔🤔.. Hii imekaaje kaaje😂😂
Basi sawaAachane nae papuchi utampa wewe???