fatherhood
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 537
- 556
Habari JF.
Kwenye jamii zetu kuna changamoto nyingi sana ikiwemo uchawi . Kama vitabu Vingi vitakatifu vinavyosema uchawi upo.
Direct kwenye mada nakumbuka way back nipo form 3 , huku kijijini kwetu nilikuwa naumwa sana kiasi ambacho nilikuwa siwezi kusoma kabisa.
Hali hii iliendelea kwa muda kama miezi mitatu nilikuwa nasumbuliwa na kichwa na mgongo hali ambayo sana sana ilikuwa inanitokea nikiwa mazingira ya shule nikirudi nyumban mzima kabisa.
Hii hali ilipelekea kusinzia na kulala darasani ilikuwa haipiti wiki bila kwenda hospital , nakumbuka tulizunguka hospital nyingi sana ila hali ilikuwa bado.
Wazazi ni watu wa dini sana hawaamini katika ushirikina ilikuwa ngumu kuhisi kama mambo ya kiswahili yamehusika , basi afya ilizorota huku uwezo wa darasani ukishuka kutokana na kusumbulia sana.
Kama ujuavyo karibia kila familia kuna ndugu mmoja huwa anapenda mambo ya kishirika ila sio constant , basi ilikuwa kama masihara dingi mdogo alikuwa tofauti na wazazi wangu kwani yeye alikua anaamin kabisa mim nimelogwa.
Basi baba mdogo akanipeleka kwa mganga fulani maaneo ya huko kwetu lakin kwa sasa amehama kule kijiji ,basi yule mganga alinisaidia mpaka leo sisumbuliwi na kitu chochote .
Nimefungua uzi ili kushare experience ulikabiriana vipi au unaendelea kukabiriana vipi na changamoto za uchawi kwako wewe ama familia yako
Kwenye jamii zetu kuna changamoto nyingi sana ikiwemo uchawi . Kama vitabu Vingi vitakatifu vinavyosema uchawi upo.
Direct kwenye mada nakumbuka way back nipo form 3 , huku kijijini kwetu nilikuwa naumwa sana kiasi ambacho nilikuwa siwezi kusoma kabisa.
Hali hii iliendelea kwa muda kama miezi mitatu nilikuwa nasumbuliwa na kichwa na mgongo hali ambayo sana sana ilikuwa inanitokea nikiwa mazingira ya shule nikirudi nyumban mzima kabisa.
Hii hali ilipelekea kusinzia na kulala darasani ilikuwa haipiti wiki bila kwenda hospital , nakumbuka tulizunguka hospital nyingi sana ila hali ilikuwa bado.
Wazazi ni watu wa dini sana hawaamini katika ushirikina ilikuwa ngumu kuhisi kama mambo ya kiswahili yamehusika , basi afya ilizorota huku uwezo wa darasani ukishuka kutokana na kusumbulia sana.
Kama ujuavyo karibia kila familia kuna ndugu mmoja huwa anapenda mambo ya kishirika ila sio constant , basi ilikuwa kama masihara dingi mdogo alikuwa tofauti na wazazi wangu kwani yeye alikua anaamin kabisa mim nimelogwa.
Basi baba mdogo akanipeleka kwa mganga fulani maaneo ya huko kwetu lakin kwa sasa amehama kule kijiji ,basi yule mganga alinisaidia mpaka leo sisumbuliwi na kitu chochote .
Nimefungua uzi ili kushare experience ulikabiriana vipi au unaendelea kukabiriana vipi na changamoto za uchawi kwako wewe ama familia yako