Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,633
Ha ha ha kama nakuona shati limejaa upepo mgongoni limekua kama puto afu umechomekea mpendwa tukikutana upo Kwenye hali hiyo nakukimbia
Halafu nina briefcase moja kubwa hivi, ndani nimeweka maji na gazeti la udaku. Na mchina mmoja unajaa mkononi. Utanitaka mbona.