Ulikutana na changamoto zipi wakati unatafuta chumba au nyumba ya kupanga?

Ulikutana na changamoto zipi wakati unatafuta chumba au nyumba ya kupanga?

Hao ndo wapigaji sasa

Ila sijawah kutana nao halafu sio rahis kukataa mpangaji kwa uchumi huu unless labda utakuwa hauaminiki umekaa kijambazi jambazi
Ila nasikia kuna nyumbani nyengine hupati mpaka upitie kwa dalali wake, je kuna ukweli wowote hapa?
 
Changamoto ukute wapangaji viswaswadu lol, mbna hakuna rangi hutaacha kuona.
 
Daah nilipoiona hii thread imenikumbusha kesho ni siku ya kodi daaaah [emoji53][emoji20]
 
Kuna kijitabia cha mmoja katika ya wapangaji kuwa 'na kijiumiliki flani hivi kwa mfano kuna nyumba moja niliwahi kupitia palikuwa 'na kamchezo cha kuzima umeme kila asubuhi 'na kuuwasha jioni hii hadi yeye flani awepo kuja kufuatilia yule mwanamke ni hawara wa baba mwenye nyumba duuuh
 
Changamoto ukute wapangaji viswaswadu lol, mbna hakuna rangi hutaacha kuona.
Eeh Yani kwamfano upange nyumba moja Na shoga...Ni aibu Sana mtaani unawaambia watu nakaa Ile nyumba moja Na Yule shoga
 
Eeh Yani kwamfano upange nyumba moja Na shoga...Ni aibu Sana mtaani unawaambia watu nakaa Ile nyumba moja Na Yule shoga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi bado huwa unaweweseka tyuuh? Shida zako sio zangu. Poleeeeeeh.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi bado huwa unaweweseka tyuuh? Shida zako sio zangu. Poleeeeeeh.
Hizi Ni Shida Za Watanzania wote...#tokomeza ushoga.
#wanaume msivae pampaz
 
Hizi Ni Shida Za Watanzania wote...#tokomeza ushoga.
#wanaume msivae pampaz
[emoji23][emoji23][emoji23] haya mjitokeze hadharani tuwaone sasaa, hatutaki nyuma ya keyboard km huo uwezo mnao. Na bado mtakufa kwa pressure mbna,
 
[emoji23][emoji23][emoji23] haya mjitokeze hadharani tuwaone sasaa, hatutaki nyuma ya keyboard km huo uwezo mnao. Na bado mtakufa kwa pressure mbna,
Taja location yako...tutajitokeza
 
Back
Top Bottom