Mkuu nilichaguliwa kishsbiki maana asilimia 90 walinipa kura...Sasa ningumu kwa mpigaji kelele maarufu wa zamani kuwageuka wenzake...Mi nikawa siwaandiki majina ila ndio naungana nao kama genge moja la wapiga kelele..
Baada ya siku mbili za kuwa madarakani nikapinduliwa na ticha wa darasa
Huo ni Unkurunziza.Monitor la kwanza mpka la saba, michezo form two, social form 5
DAIMAKiongozi wa TYCS... Mapendooo
Atakuwa mzuri dada mkuula tatu na lanne monitress la tano la sita kiongozi wa chakula la Saba Dada mkuu