Mkuu nilichaguliwa kishsbiki maana asilimia 90 walinipa kura...Sasa ningumu kwa mpigaji kelele maarufu wa zamani kuwageuka wenzake...Mi nikawa siwaandiki majina ila ndio naungana nao kama genge moja la wapiga kelele..
Baada ya siku mbili za kuwa madarakani nikapinduliwa na ticha wa darasa
Ticha wa Darasa alikuwa Mwalimu Jecha au Mwalimu Lubuva?[emoji3][emoji3][emoji3]